Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

We shouz,Dada mpole[emoji23]
Unakumbuka kwenye pdf lile majina yetu yalikuwepo kuwa tulisemwa na bibie..Mimi,wewe,sijui na To yeye
Kumbe shida ni zile vocha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kheeeh yaan yule mdada mpolee augue kisa vocha za mjep kuwahi sisi? Kwan walikua wanadate kwelii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yeye si alipewa elf 30 jomoneee, woiiiiih
Ila jf jomoneee, kumbee mjep nae kiwembee wa chini chini. Lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu mnayawezaaa kwa kwelii.
Khaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kheee kumbeee??
 
Please behave yourself. Sitembei na wenye vyeti vyao mirembe. Labda muulize yule shogaake anaeshinda m. City anakunywa kahawa atakuwa na updates zake. No hate
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaa.
 
Hii lugha ilikuja na ndege, translate kwan em.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…