raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mwamba na kuchoka kooote bado kalala kaweka mkono kwenye pombouu π
Nougaaa sana udugu ππ!Fasta fasta hiyo kabla wanga hawajatia team πππ
πππ nikajua hujaonaNougaaa sana udugu ππ!
Hilo tabasamu la kumtoa nyoka pangoniiii
Waongo nyiee mnazogoa tu kujaza pages hebu tupieni mafoto hayooo!Tayari tumetupia we umechelewa kijiweni π€£π€£π€£
Hiyo ya zamaniUmependeza!
Hebu tuone vizuri kiatu??? Kina kusigino kirefu au kifupi???
ππππ tunasubiri utupie hips hapaWaongo nyiee mnazogoa tu kujaza pages hebu tupieni mafoto hayooo!
Nimeona hapo umependeza sana mama la mama!
Nimeona kipenzi niongezee niongezeee ..naona mnaendeea mlipoishiaa !πππ nikajua hujaona
πππ Me niko nasubiri kuona hips nimelimiss kinomaNimeona kipenzi niongezee niongezeee ..naona mnaendeea mlipoishiaa !
Hebu tuone kisogini chake kilivokaa! Nimekipenda etiβΊοΈ!Hiyo ya zamani
Kina kisigino
Design ya vile viatu vya zama za wakoloni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ndo nilichokipendea.
NaziletaAna tupostie ngunyani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemiss hekaheka
Hips nitoe wapi mi uduguuu!!πππ Me niko nasubiri kuona hips nimelimiss kinoma
iko wapi jamani, Mimi sijaona πππππππ nikajua hujaona
Unaanza kutupanga π€£π€£π€£Hips nitoe wapi mi uduguuu!!
Jr alichonifanyia kwenye hiki kimeo hakii anajua ye namungu wake!
Kadelete files kibaooo hadi la picha!
π€£π€£π€£ hamna lolote ni mawig ya kuku kaonaiko wapi jamani, Mimi sijaona ππππ
π€£π€£π€£ hamna lolote ni mawig ya kuku kaona
Kweli tena!Unaanza kutupanga π€£π€£π€£
Hebu tupia vitu hivo
Kweli tena!Unaanza kutupanga π€£π€£π€£
Hebu tupia vitu hivo
Oyoooo!! ππππYako sijaona, natupia chap kabla hawajaingiaπ
Hatutaki tumekataa π€£π€£π€£Kweli tena!