Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mke wa mtoa mada kawa wakwanza ku komenti!,kweli mapenzi ni mapenzi tu...😅Nimevaa kaniki na hirizi nakuja kilingeni kwako
Ana tupostie ngunyani 🤣🤣🤣Nimevaa kijora changu chakavu kimejikunja utadhani kimetafunwa na ng'ombe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakunywa zangu soda,
Ndio nianze kuimba.
View attachment 2817891View attachment 2817893View attachment 2817896
Makururu, [emoji23][emoji23][emoji23]Na wale wa kuchimbwa chini sijui mnaita chenene[emoji23], huku mnapenda sana kula wadudu.
[emoji23][emoji23][emoji23] mnoo hataki nimuandalie mwingne chakula dhidi yake.Wivu kwenye chakula?
Lipo uchi hilo li Binti...😂Basi unevaa pichu nyeupe na kanga moja
Hapo sawa🥂Zulu man 😂😂😂
Mnaongea lugha gani lakini 😆Makururu, [emoji23][emoji23][emoji23]
Usitajee bas dogo anaenifata anapenda hao wadudu balaaa,
Akienda huko shamba, hana kazi yeye kuchimba tyuuh.
Mie napenda kuchuruza mageke, [emoji23][emoji23][emoji23] had ukubwa huu nabeba sado na luhanu nakalisha tako kuchuruzaa magekee na sioni aibu.
Asante shemeji😍Okay, hongera ms eyes
Munywanyi ulikuwa wapii
Nimetingwa cousin naona selfika part two kwenye 1 na 2!Munywanyi ulikuwa wapii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], huko shamba wamejaa kibao hao wa kuchimba,nawaogopa wanang'ata ukiwashika vibaya,Makururu, [emoji23][emoji23][emoji23]
Usitajee bas dogo anaenifata anapenda hao wadudu balaaa,
Akienda huko shamba, hana kazi yeye kuchimba tyuuh.
Mie napenda kuchuruza mageke, [emoji23][emoji23][emoji23] had ukubwa huu nabeba sado na luhanu nakalisha tako kuchuruzaa magekee na sioni aibu.
Irene wa insider man
HeeAnna ulikuwa wapi leo? Umepitwa na mengi. Nimepata bebi pisi hatari sana hapa hapa kijiweni [emoji3]
Umependeza!
Tayari tumetupia we umechelewa kijiweni 🤣🤣🤣