Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

images.jpeg
images.jpeg
 
Na wale wa kuchimbwa chini sijui mnaita chenene[emoji23], huku mnapenda sana kula wadudu.
Makururu, [emoji23][emoji23][emoji23]
Usitajee bas dogo anaenifata anapenda hao wadudu balaaa,

Akienda huko shamba, hana kazi yeye kuchimba tyuuh.

Mie napenda kuchuruza mageke, [emoji23][emoji23][emoji23] had ukubwa huu nabeba sado na luhanu nakalisha tako kuchuruzaa magekee na sioni aibu.
 
Makururu, [emoji23][emoji23][emoji23]
Usitajee bas dogo anaenifata anapenda hao wadudu balaaa,

Akienda huko shamba, hana kazi yeye kuchimba tyuuh.

Mie napenda kuchuruza mageke, [emoji23][emoji23][emoji23] had ukubwa huu nabeba sado na luhanu nakalisha tako kuchuruzaa magekee na sioni aibu.
Mnaongea lugha gani lakini 😆
 
Makururu, [emoji23][emoji23][emoji23]
Usitajee bas dogo anaenifata anapenda hao wadudu balaaa,

Akienda huko shamba, hana kazi yeye kuchimba tyuuh.

Mie napenda kuchuruza mageke, [emoji23][emoji23][emoji23] had ukubwa huu nabeba sado na luhanu nakalisha tako kuchuruzaa magekee na sioni aibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], huko shamba wamejaa kibao hao wa kuchimba,nawaogopa wanang'ata ukiwashika vibaya,


Wewe madede pia wala[emoji7]
 
Back
Top Bottom