πΉπΉπΉ Si una mke wewe Manyanza acha tamaa.Jimbo liko wazi aisee π π π
Kweli uko vyedi mtu wanguAsante Sana kwa compliment π€
Bado wanguπΉπΉπΉ Si una mke wewe Manyanza acha tamaa.
Huyo uliyepiga naye picha nani? πΉπΉπΉBado wangu
Niko pekee yangu aiseee π€£π€£π€£πΉπΉπΉ Si una mke wewe Manyanza acha tamaa.
Huyo uliyepiga naye picha nani? πΉπΉπΉ
Manyanza acha uvuvi haramu
Unanivunja mbavu zanguπ
Mimi najitupia kwa mzuka, siku nikiwa na mzuka naweka picha hata 5Fulfill basi ahadi yako π€£π€£π€£
Uwe Unani tag basi Mwanangu, hivi ni kweli ulikuwa Unakula Urojo pale kwa Wapemba- Karume kwenye magari ya Kigamboni? π π πMimi najitupia kwa mzuka, siku nikiwa na mzuka naweka picha hata 5
Mwanzo nilivyoweka ulikua wapi?
Wewe dada ulinipa code ya match kadhaa nikabetia nikapigwa nikaanza kudhani utakuwa bonge la dada libaya lisilo na shepu Wala sura .ΩΩ ΩΨ°Ψ§ Ψ§ΩΩΩΩ Ψ§ΩΩ ΩΨ―Ψ³Ψ ΩΨͺΨ³ΨͺΨ¬Ψ§Ψ¨ Ψ΅ΩΩΨ§ΨͺΩ ΩΩΩ ΨͺΩΨ¦ ΩΩΨ¨Ω Ψ¨Ψ§ΩΨ΅ΩΨ§Ψ‘. .[emoji120]View attachment 3040138
Ulidhani masikhara? Kila nikipanda gari la complex lazima nikifika pale ninywe urojo hadi wamenikaririUwe Unani tag basi Mwanangu, hivi ni kweli ulikuwa Unakula Urojo pale kwa Wapemba- Karume kwenye magari ya Kigamboni? π π π
At that time unaniuliza humu niko wapi nilikuwa na tengeneza pc pale Machinga ComplexUlidhani masikhara? Kila nikipanda gari la complex lazima nikifika pale ninywe urojo hadi wamenikariri
Yule mama huwa ananiambia 'Dar wewe peke yako ndiye unakunywa urojo asubuhi'
Ungekuja tunywe supu ya zenjiAt that time unaniuliza humu niko wapi nilikuwa na tengeneza pc pale Machinga Complex
ππππUngekuja tunywe supu ya zenji
Tupia Tupia!ππππ
Nikupe kapicha nikinywa supu ya Zenji?
Lini tena ratiba ya huko sema maeneo ya Ilala ndio Urojo wenyewe OG kabisaaUngekuja tunywe supu ya zenji
πππMwaka gani hii
Mwaka wa nini?πππMwaka gani hii
SafiππΎ