Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Mimi najitupia kwa mzuka, siku nikiwa na mzuka naweka picha hata 5
Mwanzo nilivyoweka ulikua wapi?
Uwe Unani tag basi Mwanangu, hivi ni kweli ulikuwa Unakula Urojo pale kwa Wapemba- Karume kwenye magari ya Kigamboni? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
We
في Ω‡Ψ°Ψ§ Ψ§Ω„ΩŠΩˆΩ… Ψ§Ω„Ω…Ω‚Ψ―Ψ³ΨŒ Ω„ΨͺΨ³ΨͺΨ¬Ψ§Ψ¨ Ψ΅Ω„ΩˆΨ§ΨͺΩƒ ΩˆΩŠΩ…ΨͺΩ„Ψ¦ Ω‚Ω„Ψ¨Ωƒ بالءفاؑ. .[emoji120]View attachment 3040138
Wewe dada ulinipa code ya match kadhaa nikabetia nikapigwa nikaanza kudhani utakuwa bonge la dada libaya lisilo na shepu Wala sura .

Ila nachukua nafasi hii kuiomba mbingu na dunia nsamaha kwa mawazo mkangafu yaliyokosa adabu na heshima na utu ndani yake ,na pia namwalika malaika moyoni mwako aniombee msamaha kwa yote niliyoyafanya kuhusu umbile lako hivyo naomba ufungue moyo uwe rafiki yangu wa shida na Raha

Pasina kujali hisia zetu Wala itikadi zetu ,nayaongea haya nikiwa nimesimama na diwani na mwenyekiti wa Kijiji Kama mashaidi wa huu msamaha wangu niuombao hapa duniani
 
Uwe Unani tag basi Mwanangu, hivi ni kweli ulikuwa Unakula Urojo pale kwa Wapemba- Karume kwenye magari ya Kigamboni? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Ulidhani masikhara? Kila nikipanda gari la complex lazima nikifika pale ninywe urojo hadi wamenikariri
Yule mama huwa ananiambia 'Dar wewe peke yako ndiye unakunywa urojo asubuhi'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…