Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Nafurahi kukuona tena msukuma!

Mie treinaaahhhh [emoji1739]!

Wanijua venye sinaga mbambambaa[emoji2960]!!
Sema sikuhizi sipigi pichaa Jr alichonifanyia kwenye kimeo changu anajua mwenyeweee lol! [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]lete hela nikizindue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
20231118_195841_HDR.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti Dat yamotoo coca wee ni mwehuuu ujue[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1783]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jana nilikua naongea na mate wa primary, ni dereva bajaj, sasa wakat nasubir abiria wengine, si nikaanza kumchachuaa,

Anajibu "ulikua mcharuko ila sahiv umezidi" nkamjibu "sio mcharuko sahiv ni mdabuko" ndo ananambia Dar ya motoo.

Mweeeeh.
 
Huyo nilimshtukia mapema [emoji17][emoji17]
Ankal rudisheni jando la porini wawe wanatahiriwa na panga bila ganzi.
Tutakosa wanaume wa kutuoa sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jando LA foleni? Au la mafungu.
 
Back
Top Bottom