Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu kwann unanifanya niwe wa uswazii? Ba tamu anataka niwe km wa Masaki.

Unampa kaz ya kunichange bhana.
We kunguru uwe wa masaki? Thubutuuuuu 🀣🀣🀣🀣
 
Mfyuuu!!
Hebuu post mpododo huo ushtue uzi kwanza story zimekua nyingi sana!
Chugga man alishaweka angalizo mapema!!
Kukiuka masharti ni sawa na kujitafutia kuzikwa mzima mzima πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
We kunguru uwe wa masaki? Thubutuuuuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naweza bhana, unajua mapenzi weyee?
Ntakua km wa kutoka Royal family. Niwachee.
 
Unyama mwingi mnoo eng.
[emoji91][emoji91][emoji91]
Sindio asee. Nikikosa Tims huwa natupia airmax OG au airforce au vans na all star. Sivai kiatu ingine. Travoo navaa labda kwenye events tu. Ila casual ni Tims, Airmax, AllStar, Vans na AirForce.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…