Hapo hujaanza michezo ya kupaa bado🤣🤣🤣 Sa hivi ushaota kitambi bisha🤣🤣chezea kuku wa kilingeni🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hujaanza michezo ya kupaa bado🤣🤣🤣 Sa hivi ushaota kitambi bisha🤣🤣chezea kuku wa kilingeni🤣🤣🤣
Hahahahaha,sawa sawaMoja ya Maersk's vessel
View attachment 2818152
Uliungua shingoni!pole
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu niwachee, nataka kustaafu heka heka, mrithi wangu ni wee.Mfyuuu!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We’re huyo kunguru wa zenji?!!!
Shem anajichosha tyuuu!!
Hahahahaha,sawa sawa
Unyama sanaaa Eng.Sindio asee. Nikikosa Tims huwa natupia airmax OG au airforce au vans na all star. Sivai kiatu ingine. Travoo navaa labda kwenye events tu. Ila casual ni Tims, Airmax, AllStar, Vans na AirForce.
Hapana ,MkuuNi moja ya crew nini?😅
Motor Tanker or GT?
OkHapana ,Mkuu
🤣🤣🤣 tunaijua hiyo.....Hili nalo nenoo😁😁
Jf 🙌🙌🙌!
Nikiwa kwenye mbishe natupia Blue Steel. Yani hapo niko safe kinyamaUnyama sanaaa Eng.
Yaan mambo ni vyediiii.
[emoji91][emoji91][emoji91]
Had kucha unafuga dyadya, [emoji23][emoji23][emoji23]
Dar ya motoo
Mwari umehitimu😍Labda anipe ruhusa mwenyewe 😂😂
Niwafurahishe if niachike na mume?
Hata km nimempata JF sio ndo nijiendekeze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] La mstari
Kuna clip niliona sijui watu wa wapi wale, wamewaweka mstari ngariba akipita anakata km anakata nyama kisu kikali!!!
Mpk chango lilicheza, nikasema wanaume kumbe nao wanapitia magumu shenzy zao!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanapekua mafile yako ya nyuma tu jf kibokoo😁!🤣🤣🤣 tunaijua hiyo.....
Nahisi siku wakinibamba watanidoboaaa🤣🤣🤣
Huku si amanj tu au?[emoji23]Si ndo hapo sasa!! Ya nini kukaa ukiwa km tuko msibani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Michachuo lazima
Unajua kwanini tuna vioo majumbani na wengine kwenye mapochi? Kupendeza!
Unajua ni kwanini mara nyingi huchagua viwalo? Kupendeza!
Unajua kwanini baadhi yetu hupenda watu watuangalie na kutusifia? Kupendeza!
Hebu tupia ulichovaa leo iwe saa, miwani, wigi, kiatu ama nguo yoyote ile na urembo wowote ule..
Kama huna basi tupia hata cha mtandaoni unachoona aliyevaa kimemtoa kwatu na kupendeza sanaView attachment 2817216
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2817248
Umenikatalia kuuona huo mkono?We acha tu
Nimekuwa wa mjini😆
Hivi nilitaka nizikate hapa maana zimekuwa ndefu...wakanipa rangi nipake.
Mimi kucha zangu nakata Kila wiki ila zinakua haraka sana.
Yani ukiweka pic, wanaiscreenshot fastaaa, afu inatunzwa masjala ya Siri for further and future use🤣🤣🤣Watu wanapekua mafile yako ya nyuma tu jf kibokoo😁!