[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii sijui hata imeanzia wapi bro, ila hapo pa upole nimecheka kiukweli..!!
πππAnakusifia huyo bro ako!![emoji119]
Asubuhi, mchana had jioni na usiku anakutaja ndotoni [emoji1787]
Neno langu lile lile sitaki simu ya mchango nafikiri nimeeleweka[emoji23][emoji23][emoji23] Pesa anazo bhana acha kututisha dada
Usijali Kaka,Nimetaja dada zangu humu, akasema dada angu mmoja hapo huwa hapendi anavyofanyaga utani huku na wengine. Nikamuuliza ni Carleen?
Huyu ana utani sana, but mzoee tu hana kabisa hizo mambo kwenye real life, utani huisha kuwa utani
Usijali Bro..!!Bora Carleen umuambie aisee huyu anakuaga na utani uliopitiliza, nilishamuambia apunguze, sasa hivi kapunguza kidogo, but she is real huwa anajua anachofanya na ana akili sana
[emoji23][emoji23][emoji23]
Usije mpiga kaka yangu na frying pan huko ndotoni tafadhali..!!
Neno langu lile lile sitaki simu ya mchango nafikiri nimeeleweka
Akinisuta utanisadia?
Namkubali sana sista angu, A city in da house[emoji23]Anakusifia huyo bro ako!![emoji119]
Asubuhi, mchana had jioni na usiku anakutaja ndotoni [emoji1787]
[emoji23][emoji23] huyo mdomo tu ila hanaga kwere kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Usije mpiga kaka yangu na frying pan huko ndotoni tafadhali..!!
Yeye huzingua tu watu[emoji23]Usijali Kaka,
Nipo serious kweli na jambo langu..!!
Yes my sista[emoji7]Usijali Bro..!!
Familia haina wasiwasi naye kabisa, yupo mikono salama..!!
Ndawoo mgeras home boy mtenga kashanyoosha. Molell bado hafahamiki alipo. Wewe umejikunyata tu bomani njeve inakupuliza huku unawatetea na kuwaunga mkono Hamas na mapalestinaMkaldayo wewe ni umbwaaa
Mungu ni mwema sana
Naomba uweke picha yako ati,nione umevaa aje.
Ndawoo mgeras home boy mtenga kashanyoosha. Molell bado hafahamiki alipo. Wewe umejikunyata tu bomani njeve inakupuliza huku unawatetea na kuwaunga mkono Hamas na mapalestina
We tupia yoyote.Ni wajibu wangu kutii kiu yako mtakatifu Anne...
Ngoja sasa 'nivunje kabati' kisha I will do the needful. [emoji3]
-Kaveli-