Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

usalama kaz kwenu
 

Attachments

  • IMG_1438.jpg
    IMG_1438.jpg
    134.4 KB · Views: 13
Ni uzi wa furaha tukichoka huko kwingine.. Tujitahidi tusikwazane na kuvunjiana heshima..
Tuvumiliane na kuwa tayari kuombana radhi tunapokuwa tumewakosea wengine kwa bahati mbaya bila dhamira kificho[emoji1545][emoji1548]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbna tahadhari mapemaa? Kwemaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Nna sura ya baba, bonge afu mweusi tiiiii
Nisije kukutisha mkuu, acha tusubiri walioblesiwa na Allah tusafishe macho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unakuajee mweusi, jikii na diprozone za kupima zipoo.
Unaniangushaa bhana
 
cocastic mlete cazee wako wa Mwandiga Kigoma aje kutupia pic [emoji23][emoji23][emoji23]
Yule jamaa uko aliko anajua JF imefutwa!!!
Kashazoea selfika tyuu!! Ss hivi hauoni uzi anajua ndo basi hebu muiteni apite naked
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cuzoo akee yuko depoo, akitoka huko yuko na gwanda za mabaka zenye vikolombwezo beganiii.

Mlinzii ninaee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom