Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Huyo Akikukwida huchomoii😁😁Kweli ankal? Mi nilishangaa mwanamke gani ana mpaka kudude cha shingoni kile!!! 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Akikukwida huchomoii😁😁Kweli ankal? Mi nilishangaa mwanamke gani ana mpaka kudude cha shingoni kile!!! 😂😂😂
Sina.Wee nionyeshe ulivyovaa khanga moko mrembo
Sina.Wee nionyeshe ulivyovaa khanga moko mrembo
Kaka Loveness akikukwida mkono hutokiii😁😁Mke wa Lovness Tarimo Ajitokeza[emoji15]Tazama mpaka mwisho.
Hii nchi watu washaifanya kama chapati wanaigeuza wanavyotaka[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe Loveness Tarimo ana mke canada na wana mtoto kabisa.. Huku kuja bongo katoroshwa na mzungu aolewe[emoji24][emoji24][emoji24]
Zum Anzeigen anmelden oder registrieren
Sieh dir auf Facebook Beiträge, Fotos und vieles mehr an.www.facebook.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitoka nitaingia lakini soon, bando lenyewe la jero hili[emoji23][emoji23]Nakutafuta insta sikuoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waje kutubles asee kitambo sana ! Tena Leo wakija wapite naked kabisa!
Nipite, nimejichoka? Utaniacha sasa!!! 😂😂😂Naskia skia umepita
Ngoja nimalize shughuli za shamba nianze kutupia picha yangu 🤪
Īhaha bayanda mugūzwaga mvī mutalī bana bado gete. Ūnenīhaha nalīnamyaka makūmi mpungatī na kenda alīyo nalī na dūvī dūdo doheshima heshima guke 💪😁Shabhodogo Shenesho..(Shabhokoo)
Mpk taya na kidevu cha kiume wee subutuu!!Huyo Akikukwida huchomoii😁😁
Umetisha sana kumleta my wetuNtiluseswa mzeiya wa kupita naked hajiulizi mara mbiliiii ,🤠
Mbona naona udugu anakusifia [emoji23][emoji23]Nipite, nimejichoka? Utaniacha sasa!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Sitaki kutenguliwa kiuno na mitama mie Akuu [emoji1787]
Fanya hivoo babuu!Ngoja nimalize shughuli za shamba nianze kutupia picha yangu 🤪
Niungie na me bundle! Si unajua niko vijijini huku 😂😂😂Nilitoka nitaingia lakini soon, bando lenyewe la jero hili[emoji23][emoji23]
Udugu bado mgeni naye hujamzoea?? 😂Mbona naona udugu anakusifia [emoji23][emoji23]
Ww boss mkubwa sana mjini[emoji23][emoji23]Niungie na me bundle! Si unajua niko vijijini huku [emoji23][emoji23][emoji23]
Nauza visheti pesa natoa wapi? 😂😂😂Ww boss mkubwa sana mjini[emoji23][emoji23]