binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Natania kipenzi, huwa nakuja kuja … nilikua huko mwezi wa 11, nikija tena nitawatafuta wenyeji. 😊Nyasaka ???upo mwanza kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natania kipenzi, huwa nakuja kuja … nilikua huko mwezi wa 11, nikija tena nitawatafuta wenyeji. 😊Nyasaka ???upo mwanza kwani?
sikusema usiposti nilisema asante sana kwa ulichofanyaBasi usiseme ulisingiziwa, sema tu nimeomba msamaha kwa yote yaliyotokea.
Ukisema hukuwepo unadanganya, ulini text kesho yake na kuomba nisipost tena.
Usilete maneno mengi maana utasababisha ujibiwe na lengo la msamaha wako halitafanikiwa. Ni ushauri tu, no hate
Usikasirike, usiangalie watu wanajibu nini. Fanya sehemu yako, tulia.haya ni maisha tu na tunapita , nimekuja andika radhi but people think nimekuja ask for sympathy , sympathy for what . nimekuja fanya tu vile what my heart desires .
nashukuru nimejifunza kupitia hii forum
Ooh karibu sanaaaNatania kipenzi, huwa nakuja kuja … nilikua huko mwezi wa 11, nikija tena nitawatafuta wenyeji. 😊
yaani wewe ungata na kupulizaUsikasirike, usiangalie watu wanajibu nini. Fanya sehemu yako, tulia.
Nakumbuka,Nikiahidi kumuombea mtu linakuwa deni kwangu...ni akheri nivunje ratiba za maombi yangu,ila si Yale niliyoahidi kumuombea mtu..yatapiga kelele sana ndani yangu.Hakika una commitment sana, Hongera.
Uendelee kutukumbuka kwenye maombi.
Halafu hips hazipunguagi eeenhe, maana zimechomoka tu 😀
pole sana i had toDaah ungeacha, unafumua vidonda vilivyopona.
ERoni
Kama umesoma post zangu vizuri, nilitaka ku prove kama kweli ni wewe. Nimepata jibu langu. Punguza maneno, kaa kwenye msamaha. Jioni njemasikusema usiposti nilisema asante sana kwa ulichofanya
navyokujua ungepost zaidi na zaidi
nakumbuka vitisho vyako vyote
OkayKama umesoma post zangu vizuri, nilitaka ku prove kama kweli ni wewe. Nimepata jibu langu. Punguza maneno, kaa kwenye msamaha. Jioni njema
Tested and proven.yaani wewe ungata na kupuliza
Its working, its working babe sis, vita ilishushwa kubwa sana, naona watu wenyewe wameanza kujiudjust. Mpaka holidays ziishe itakuwa imejulikana nini ninini na nini ninini. 😀Nakumbuka,Nikiahidi kumuomba mtu linakuwa deni kwangu...ni akheri nivunje ratiba za maombi yangu,ila si Yale niliyoahidi kumuombea mtu..yatapiga kelele sana ndani yangu.
I promised you that you'll be in my prayers and I did so and still doing.
Sikukusahau,,tena nilitamka jina hivyohivyo "Binti Kiziwi".. Nikamwambia Mungu wewe unamjua kwa jina lake halisi na unajua anayoyapitia,pia unajua haja za moyo wake.
Hakuna cha hips 🤣🤣🤣
Ni nguo tu Kuna namna huwa inakaa hivyo
Nikibadili nguo utaona.
Sikutamani kuchangia lolote kwenye uzi huu lkn imenibidi.pole sana i had to
inakera sana yaani unafungua uzi tu unakutwa umesemwa bora niombe radhi yaishe
HATUJAWAHI ONANASikutamani kuchangia lolote kwenye uzi huu lkn imenibidi.
Sema kweli Tinsley mimi na wewe tumewahi kuonana dunia ipi?
Pole sana kwa usumbufu huoKIla ya kheri, but ililetea usumbufu mkubwa sana na kuonekana kituko, nilishtushwa na screenshot kama 10 katika asubuhi yangu ya mshtuko
sawa , asante sana .Niko poa tu yalishapita, hata hivyo mimi mwanaume kwa hiyo hata sio kashfa kivile
Bwana na azidi kutendaIts working, its working babe sis, vita ilishushwa kubwa sana, naona watu wenyewe wameanza kujiudjust. Mpaka holidays ziishe itakuwa imejulikana nini ninini na nini ninini. 😀
Ubarikiwe mtumishi 😍
Nipo kipenzi holiday natingwa kidogo ila nimejaa tele humu..I see you babe sis, Saint Anne How do you manage kuwa na flat tummy hivyo kwenye huu uchumi wa mama Samia 😍😍🌺
Dr.Lizzy kama kawaida yako pokea maua yako Dr. 🌺😍
Tayana-wog ya mwisho sijaiona jamani 🥹
Depal i see you ❣️
Dejane 😍😍😍
Mideko nani kakuficha mamalake. 🌺
Ms eyes where are you boo🌺
Antonnia Umekuwa mchoyo siku hizi bi mzuri. 🌺
Missy Gf nakusalimia shougaa 🌸
Hannah, Dr. mariphosa where are you babes. 💕
Na wote mnaofanya uzi Uendelee kuwa hai 🤍❤️🤍❤️