Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Yaani acha tu
Watu wamekiwasha tena usiku brother[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeamka nikakuta moto unawaka.
Hata kama sio member wa MMU na Selfika ila nataka nijue nini chanzo cha kufungiwa kwa uzi au huko usemapo wamekivuruga hasa.
 
Fungua Uzi usawazishe Coca
Tunakusubiri
Nataka ndani ya uzi wa selfika, kwa hili, naenda 1 kwa 1 kwa mello, awaambie modes wafungue uzii, ili na mie nisawazishee vituu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] modes kwann waoga sana, kila likija suala mie kufungukaaa wanani zuia, aaaah
 
Nataka ndani ya uzi wa selfika, kwa hili, naenda 1 kwa 1 kwa mello, awaambie modes wafungue uzii, ili na mie nisawazishee vituu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] modes kwann waoga sana, kila likija suala mie kufungukaaa wanani zuia, aaaah
Punguza ukorofi mjukuu
 
[emoji23][emoji23] yaliyopita si ndwele
Ganga yajayo tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nyie nimechekaa, nlivyokuta kufuli tyuuh, nkasema tayarii modes wameshaamua kunizuiaa,

Afu nilijua pekee angu tyuuh nimezuiwa ku comment, nkaona comments zimefutwaa, nkasema ushafungwaa huu.
 
Back
Top Bottom