Sega la asali
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,153
- 2,700
Wewe si ndio hutoa siri za watu?Nimetulia bhana Demi . Tatizo pm lako umelifunga. Ningekuambia vizuri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si ndio hutoa siri za watu?Nimetulia bhana Demi . Tatizo pm lako umelifunga. Ningekuambia vizuri!
Hongera. Nimelipenda gauni lakoMkulima
Watu gani?Wewe si ndio hutoa siri za watu?
Kuna siku ulikuwa unamsema binti wa Chanika kuwa sijui anaomba nini vileWatu gani?
Nitajie huyo binti ni naniKuna siku ulikuwa unamsema binti wa Chanika kuwa sijui anaomba nini vile
Take risk acha uogaKuingia geto la kike nayo yataka moyo.
Mara aje aulize, huyu ni nani?
Nipe locationTake risk acha uoga
Sumbawanga mjiniNipe location
Sawa ninakujaSumbawanga mjini
Tupia basi niko hapa 😜
Anza weweTupia basi niko hapa 😜
KaribuSawa ninakuja
Chalii una sura nyingi 😂😂😂😂Photo shoot na mekapu ya laki 7 shingoni Silva laki 2 msalaba sikioni milioni 5 saa ya Silva milioni 10
Lubumbashi finest ❤️❤️❤️
View attachment 2922702
Haya subiri hapo hapo mvua iishe 😂😂😂Anza wewe
Upo mbali sana. Nitasafiri wikiKaribu
Mvua ipo wapi?Haya subiri hapo hapo mvua iishe 😂😂😂
Huku maporini ninakoishiMvua ipo wapi?
PoleHuku maporini ninakoishi
Panda ndegeUpo mbali sana. Nitasafiri wiki
Hapo sawaPanda ndege