The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Hapana, chakula Cha waethiopia wanaita njeraHiz chapat au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, chakula Cha waethiopia wanaita njeraHiz chapat au
Ooh sawaHapana, chakula Cha waethiopia wanaita njera
vitam lakini 😀
Sana, hii ni shawarma ya watu wa Syriavitam lakini 😀
Hataree tupu shangazii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Yan hatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kwelii.Ungewatimua bana [emoji81][emoji81]
Muda wa kutafuta pesa uheshimiwe
Hata mie nakuunga mkonoo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli Manyanza anazingua na viatu vyake [emoji81][emoji81][emoji81]
Sijui hata nacheka nn, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi nimevaa ngozi
Mlongo uko [emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema wewe nyuki wa mashineni [emoji81][emoji81][emoji81]
Manyanza hung’ati unapiga kelele tyuu.!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asante mkuu . kwakweli kupendeza kunaficha mengi sana .. ukiniona unaweza kudhani ni afisa wa TRA kumbe sina lolote mjini hapa
Hiki ni chakula gani mbona sijakielewa?Full dayati
View attachment 3043218
Woyooooo!!!Pitiku my favourite veggie
🤣🤣🤣🤣Mlongo uko [emoji91][emoji91][emoji91]
Tatizo dundo ndo huna kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukijichanganya umeisha 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weekend twende chimbo ukapate dundo za maana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukosoaji kama kawa hebu nione mapendekezo yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em sema kweliii? Ko huwa kinawalamba wadada wa watu huko uraiani?Ukijichanganya umeisha [emoji1787][emoji1787]
Njera/ Injera ni kama chapati za maji lakini sio. Chakula maarufu sana Ethiopia. Hapo zimemwagiwa nyama na hiyo ya njano ni kama pilipili ya unga.Hiki ni chakula gani mbona sijakielewa?