Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Na wee ni kibopaa bhana.
Hope uli enjoy msosi mtamuu!!
Kama kibopa wa JF sawa, hapa ndio eneo unaweza kuwa mtu yeyote. Kama kwenye ndoto vile.

Melia Zanzibar napapenda zaidi kuliko Arusha. Wana eneo kubwa na muundo wa vyumba vyao ukichanganya na ufukwe wa bahari unasahau dhiki za reja reja.
 
Kama kibopa wa JF sawa, hapa ndio eneo unaweza kuwa mtu yeyote. Kama kwenye ndoto vile.

Melia Zanzibar napapenda zaidi kuliko Arusha. Wana eneo kubwa na muundo wa vyumba vyao ukichanganya na ufukwe wa bahari unasahau dhiki za reja reja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akhiii nimechekaa sanaa!! Kibopa wa kotee bhana.
Kula life mkuu!! Tunaishi mara mokoo.
 
😂 😂 😂
Mlongo cocastic hapa napo bado???
20240717_161518.jpg
 
Back
Top Bottom