Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?

The key point there is future generation
 
Una ka uma. Laya flan hiv kalikojificha
 
Uliliwa kimasihara.
 
Bi Huruma, ukiguswa tu.
 
Dada mtoa uzi mimi nimekupenda kwa jinsi ulivyo muwazi kutoka moyoni mwangu katikati kabisa. Kuna wanawake type ya gigy money akiamua kutulia na wewe hutasikia kagongwa nje ila ukimzingua anakupiga matukio halafu ukimuuliza anakwambia nimetandikwa vya kutosha ukitaka tembea na ukitaka tuendelee. Ila wadada wasiri siwapendi kabisa
 
Wanawake mnapenda kuonesha udhaifu sana...yaani kukemewa kidogo tu hadi mtoa mada nae kaingia mitini.[emoji38][emoji38][emoji38] kwa uoga huo mtakua chini ya mfumo dume for your life.

Hapa ilitakiwa mlete Visa vya nguvu iwe chai au kweli. Mngeweza hilo la kuporomosha Visa nawaambieni hawa wanao wakandamiza hapa wangejiona wasenge ila kwa kuwa mmewakimbia watajiona vidume na hakuna kitu mtawafanya
 
Mungu dhahidi hii kitu mimi na umri huu haijawahi nitokea ati bila kupanga nikafanya na mtu? Haijawahi nitokea na kamwe haitonitokea. Kwanza sijawahi ruhusu kuwa na mtu kwenye mazingira ya kutatanisha, huko sekondari nilitoka nikiwa bikra hadi chuo kikuu, sasa hayo mambo yangenikuta vip? Kwakweli haitokaa itokee.

Hata hivyo pole dada.
 
Self Promo! [emoji23][emoji23]
Back to Reality [emoji26][emoji26]

Kwahiyo, hizi mbususu tunazozichakata huwa ni za majini?

Halafu mbona uzi wa kula tunda kimasihara umejaa visa?
[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
 
Niligongaga demu naamka asubuhi lina bonge la kilemba,jeusi kama pampu mpya .Nikajisemea tu leo nimeyakanyaga.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwan wakati mnakutana ilikuaje au ulikua umelewa mpaka ukashndwa kumuona vzuri yupoje??

Alafu uache kutukandia wadada weusi nyau weee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwan wakati mnakutana ilikuaje au ulikua umelewa mpaka ukashndwa kumuona vzuri yupoje??

Alafu uache kutukandia wadada weusi nyau weee.
Haaa haaaa nilikua vitu vibaya sana halafu mali zinaruka tu nikaona nijibebe tu.Sema ilikua imenyauka duuuh.
 
Self Promo! [emoji23][emoji23]
Back to Reality [emoji26][emoji26]

Kwahiyo, hizi mbususu tunazozichakata huwa ni za majini?

Halafu mbona uzi wa kula tunda kimasihara umejaa visa?
[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Self promo? Acha utoto am too old for that niko jf kabla hujazaliwa nijipromote jf ili iweje? Wengine humu tunaishi maisha halisi na kuna watu tunajuwana humu. So ninapoandika kitu hapa, nina maanisha coz najua ninaefahamiana nae anaweza soma hapa.
 
😆
 

Attachments

  • 48B5C1B4-733E-43AA-A206-9D186FC6EE3F.jpeg
    24.9 KB · Views: 24
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…