Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?

Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?

Nani aowe???
Wewe au mwingine
Yan 24/7 unaongelea mbususu huyo mke si atarudi kwao baada ya mwezi
Usiowe tuu we zichakate uwezavyo maisha yenywe haya jimwage baba
Sasa mke anafuata nini kwa mume...sii anafuata de libolo. Maana kula kuvaa vyote alikuwa anapta kwa wazazi wake
 
Muacheni dada wa watu
Nyie ni sawa ila Kwa huyu dada Malaya?
Ndio ulimwengu ulivyo, unafuga mifugo majike wengi kuliko madume. That's how it works
 

Attachments

  • Screenshot_20220729-161006_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20220729-161006_WhatsApp.jpg
    216.6 KB · Views: 28
Huu ndio unafiki pro max!
Kule kuna uzi wa kula tunda kimasikhara, wanaume wanatoa ushuhuda wa mambo makubwa zaidi ya haya, eti wanasifiwa ni vidume!
Hapa binti kashuhudia alivyoliwa kimasikhara ndio mnaamka kukumbuka eti thamani ya mwanamke! Thamani ipi? Kwani mwanaume hana thamani? Wale mnaowakula kimasikhara si ndio hawa sasa wamekuja upande huu kushea story zao? Tuacheni unafiki.
Kinadada na kinamama msikatishwe tamaa na wanafiki kama hawa, hebu mwageni story tufaidi. Maisha mafupi haya, stress za nini?
It takes two to tango!
Yaani nimeshangaaa
Tena unafiki haswaa
 
Sasa mke anafuata nini kwa mume...sii anafuata de libolo. Maana kula kuvaa vyote alikuwa anapta kwa wazazi wake
Eti eeeee we achana na kuoa bana fanya kitu roho inapenda usije ukamfuja mtoto wa watu
 
Eti eeeee we achana na kuoa bana fanya kitu roho inapenda usije ukamfuja mtoto wa watu
Mna vigeugeu nyie...mara huwezi shindana na mbususu siku nyingine utamfuja mtoto wa watu ....tuwaelewaje?
Kuoa muhimu bwana
 
Hello,

Kuna ile situation unajikuta tu tayari kishaumana na mtu ambae hukumhisia kuwa na tabia za kikubwa may be kutokana na cheo/wadhifa ama umri alionao [emoji4][emoji4] Yaani ambaye ulidhani hata kama mngefungiwa chumba kimoja usiku kucha kisingetokea kitu. Au mtu ambae kutokana na status yake hukutegemea kabisa [emoji23][emoji23]

Nina visa vinne japo sintovielezea kiundani zaidi[emoji4]

1. Kijana aliyeaminika kuwa ni hanithi
Huyu alikuwa ni kaka yake na rafiki yangu, kipindi hicho ilikuwa bado mwezi mmoja kwenda Advance, ulikuwa ni mwezi wa sita wa mwaka Z. Pale mtaani hakuwa na ile kukimbiza tuschana kabisa, aliyenipa mkasa mzima ni huyohuyo rafiki yangu. Hivyo pale kwao walinizoea sana. Kipindi hicho nikiwa ndani nae tunaangalia movie ya Yellow Banana nilishangaa ghafla ananitizama kwa jicho la njaa, nikasema nimekwisha [emoji134] japo nilikuwa bado sijaamini amini vizuri. Nilishuhudia bikra yangu ikisombwa na mafuriko ya wazungu hivi hivi najiona. Mwanaume sio wa kumwamini[emoji24][emoji24] Sikutegemea kwa kweli.

2. Kivulana kidato cha pili
Nilikuwa nakifundisha tuition nyumbani kwao (table teaching). Nakumbuka ilikuwa likizo ya kidato cha sita. Muda huo niko kwao sina hili wala lile, kile kivulana kikaniziba macho kwa viganja vyake kisha kuniongelea masikioni na kijisauti chake ki-base, si unajua tena barehe ilikuwa inakasumbua? Japo nilikakanya na kukakaripia ile miguso ya shingoni ilinipagawisha, sema ndo basi tena, hata wakati nakafundisha tayari nilikuwa na nyg mshindo[emoji23] Kiukweli hakakutulia, kakanifuata tena na kuanza kunitekenya mbavu zangu, japo kalikuwa ni kadogo dogo, kulikuwa hakuna namna, tuliunganisha midomo[emoji24] Ila mb** kalikuwa nayo, ipo ipo imenona, ndo ivyo kaka na dada zangu [emoji24][emoji24] Kuanzia siku hiyo sikurudi tena na sikutaka kuonana nako tena

3. Mtoto wa mtumishi
Hii ilikuwa ni baada ya kidato cha sita. Alikuwa ni age mate mwenzangu. Huyu ndo alikuwa akinipatia neno [emoji23] Alinifundisha sana dhambi ni nini na namna ya kuziepuka. Na ndiye aliyenipeleka kwa baba yake kutubu. Nilikuwa nikielekea kwao mara kwa mara kujisomea vijitabu vya dini. Siku moja nimeenda kwao nikamkuta yeye mwenyewe, lakini alikuwa anajichekesha chekesha tu. Na haikuwa kawaida yake. Mara ananambia nilete viganja vyangu, anaanza kuvifunulia utabiri. Dakika ishirini ni nyingi aligeuka mbwa mwitu na kunirarua, tulivyomaliza akaniomba eti msamaha! Baada ya siku kadhaa kupita, nakuja kugundua kumbe sio mimi peke yangu pale church niliepigwa tukio[emoji23] Nilijadharau sana

4. Mkuu wa wilaya X
Ilikuwa ni sherehe ya Social Club kubwa tu hapa nchini. Mkoani ambako nilikuwa nasoma Advance mgeni rasmi alikuwa ni huyo baba[emoji23] Mimi sanasana huwa ni mwanamitindo, urembo na mavazi. Baada ya kudamshi hiyo siku na kuonekana mbele ya umati, kumbe alivutiwa nami. Katika mazingira fulani niliitwa na kupatiwa maelekezo. Si unajua tena ule woga wa kumkatalia Rais wa wilaya muda huo unasomea kwenye nchi yake, nikaingia line, tunajua tulimaliziana wapi baada ya siku kadhaa. Nilipata na hadhi ya kuingia ofisini mara kadhaa [emoji23] Japo kidogo aliniinua kwanamna fulani kiuchumi, lakini ndo ivyo nililiwa na mtu ambae sikudhania.

NA WEWE TUPATIE KISA CHAKO

Ahaaa! Tayari nimeshakufahamu ni nani! Nilitulia sana kutaka kujua huyu atakuwa nani aliyemwaga huu uzi! Nitakuambia pm wewe ni nani! Ila kwa hadhi yako na kwa vile uneshaokewa hikutakiwa kumwaga hayo mambo yako humu kwa sababu forum in watu wengi sana, lazima ungejulikana tu!
 
Ahaaa! Tayari nimeshakufahamu ni nani! Nilitulia sana kutaka kujua huyu atakuwa nani aliyemwaga huu uzi! Nitakuambia pm wewe ni nani! Ila kwa hadhi yako na kwa vile uneshaokewa hikutakiwa kumwaga hayo mambo yako humu kwa sababu forum in watu wengi sana, lazima ungejulikana tu!
Acha kutisha wenzako. Admin1988 piga BAN huyu
 
Huu ndio unafiki pro max!
Kule kuna uzi wa kula tunda kimasikhara, wanaume wanatoa ushuhuda wa mambo makubwa zaidi ya haya, eti wanasifiwa ni vidume!
Hapa binti kashuhudia alivyoliwa kimasikhara ndio mnaamka kukumbuka eti thamani ya mwanamke! Thamani ipi? Kwani mwanaume hana thamani? Wale mnaowakula kimasikhara si ndio hawa sasa wamekuja upande huu kushea story zao? Tuacheni unafiki.
Kinadada na kinamama msikatishwe tamaa na wanafiki kama hawa, hebu mwageni story tufaidi. Maisha mafupi haya, stress za nini?
It takes two to tango!
Well mkuu si ndio maana nikasema mwanaume na mwanamke ni tofauti sababu mwanaume anatumia na mwanamke ni mtumiwaji. Mimi sina cha kupoteza hata nikilala na wanawake 1000 lakini mwanamke ana vingi na mengi ya kupoteza means kuandika nilichoandika ni completely out of honest.
Na unaweza kuniambia kwanini unatumia nguvu nyingi kunipinga? well labda kwa sababu kuna kaukweli mchungu ndani yake that's why unalazimisha kupinda uhalisia.

Mkuu wewe ndio wale watu mnaoshawishi watu (hasa vijana wadogo wasiojitambua bado) wafanye vitu vya kujiaibisha na kujidharirisha kwa manufaa yenu wenyewe, hivyo fikiria mara mbili kati ya mimi na wewe nani mnafiki. naelewa ulimwengu umechafuka na mabinti wadogo wengi akili zao zimeelekea huko.

Alafu ni kweli mkuu upo sahihi, nimesahau kwamba huu ni ulimwengu wa 50% kwa 50%.
Hey! round the table life is too short.
 
Thamani yake IPO pale pale ni vile tu yeye atakavyo amua kutumia life experience yake kujiongezea au kujishushia thamani. Tena bora yeye kajiweka wazi kuna watu wanajidai malaika ila ukifungua background zao utakuta kwenye jeshi la wazinzi wanavyeo vya field martial
Ni kweli mkuu, lakini wakuu why so serious kama ni kitu kidogo tu kama mnavyosema.
Unless wote mnaujua ukweli and that's why mnatumia nguvu nyingi kuupinga.

Ni maoni yangu tu ya mtu mmmoja asiyejulikana, just a prank bro.
 
Yaani nimeshangaaa
Tena unafiki haswaa
Unafiki ni pale mtu anasema kitu fulani lakini unatambua ni uongo sababu unamjua kiundani.
Kwa definition ya unafiki mimi sio mnafiki sababu nilichoandika ni mimi kabisa.

And hey girl for sure haunijui lakini kiuhalisia mimi ni mtu safi sana na siku zote nasema ukweli bila kuyumba except muda mwingine unaweza sema ukweli mchungu ambao unamuumiza mtu pakubwa na mimi sipendi kuumiza watu especially watu ambao bado hawajakua kiasi cha kutosha na akili zao kupevuka wala kujua wanachokifanya, sababu hawachelewi kuchukua maamuzi magumu.

Mnafiki ni yule anayeficha ukweli ili kujiridhisha na kujifariji, lakini siku zote ukweli utabaki palepale.
 
Yani mnaitwa mtufundishie watoto mnaanza kupigana miti tena
Aisee

Ila bora mwalimu wa kike
Angekua wa kiume eh Yarabi God forbid
 
Back
Top Bottom