Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?

Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?

Thamani yako iko wapi kama mwanamke? sababu mpaka hapo umeshajishusha vya kutosha binti na thamani yako wala haionekani tena. Mwanamke na mwanaume ni tofauti kwa mwanaume hayo matukio ni sifa na pride lakini kwa mwanamke, sitotumia maneno makali lakini "cheap" ndio lenyewe, sikutukani wala kukushambulia ni uhalisia na ukweli mdogo tu. a little truth.
Honestly unatakiwa uanze kujitambua na kujiheshimu kabla muda haujapita even though miaka 23 sio midogo.

Natamani sana kuoa na kuwa na maisha ya mke na familia ila kila siku zinavyozidi kwenda nazidi kupata mashaka kama kuna mwanamke safi dunia hii, but I won't give up searching.
Anyway screw it.
Huu ndio unafiki pro max!
Kule kuna uzi wa kula tunda kimasikhara, wanaume wanatoa ushuhuda wa mambo makubwa zaidi ya haya, eti wanasifiwa ni vidume!
Hapa binti kashuhudia alivyoliwa kimasikhara ndio mnaamka kukumbuka eti thamani ya mwanamke! Thamani ipi? Kwani mwanaume hana thamani? Wale mnaowakula kimasikhara si ndio hawa sasa wamekuja upande huu kushea story zao? Tuacheni unafiki.
Kinadada na kinamama msikatishwe tamaa na wanafiki kama hawa, hebu mwageni story tufaidi. Maisha mafupi haya, stress za nini?
It takes two to tango!
 
Nisikilize Drim Kwini;
Mwanaume ni mwindaji kama simba.
Endapo swala ataona simba na kuacha kukimbia, swala huyo atahesabiwa ni mgonjwa.
Duniani kote mwanamke akitakiwa angalau huringa kiduchu jspo kiuhalisia moyoni yuko tayari mara nyingi.
Pili...kuliwa bila kutaraji angalau iwe mara moja nafikiri isingefaa kulaumiwa.
Sasa dada yetu yaani ni mfululizo tu akitazamwa machoni amelowa heee.
Kwa hiyo Mwanamke yeye hana hisia???
Anatakiwa kuringa nani anamtaka aringe???
Mnawakandamiza sana Wanawake yaani mnawachukulia kama ni viumbe flani hivi kutoka sayari nyingine,

Hawana machaguzi, Hawana hisia, Hawana kauli.
 
Huu ndio unafiki pro max!
Kule kuna uzi wa kula tunda kimasikhara, wanaume wanatoa ushuhuda wa mambo makubwa zaidi ya haya, eti wanasifiwa ni vidume!
Hapa binti kashuhudia alivyoliwa kimasikhara ndio mnaamka kukumbuka eti thamani ya mwanamke! Thamani ipi? Kwani mwanaume hana thamani? Wale mnaowakula kimasikhara si ndio hawa sasa wamekuja upande huu kushea story zao? Tuacheni unafiki.
Kinadada na kinamama msikatishwe tamaa na wanafiki kama hawa, hebu mwageni story tufaidi. Maisha mafupi haya, stress za nini?
It takes two to tango!
Thank you.
 
Kwa hiyo Mwanamke yeye hana hisia???
Anatakiwa kuringa nani anamtaka aringe???
Mnawakandamiza sana Wanawake yaani mnawachukulia kama ni viumbe flani hivi kutoka sayari nyingine,

Hawana machaguzi, Hawana hisia, Hawana kauli.
Gawa mama hicho kidude ni chako yaani gawa kwa kila rika.
Samahani kwa kuingilia uhuru wenu
 
hio namba moja huwa naitumia sana,tafanya njia yoyote ili upate taarifa mm ni hanisi,hasa eneo ambalo sifahamiki kosa uingie mkenge umekwisha..maana utakuja umejiamini hamna kazi.
Mkuu sikushauri kabisaaa kuendelea kutumia hio njia kama unaishi mikoa ya pwani.
Fata ushauri wangu halafu utakuja kunishukuru baadae.
 
Kila ukijaribu kuachana na mambo ya mbususu anatumwa mrembo mmoja aje atoe story tamu tamu jinsi alivyoliwa ilimradi tuu uendelee kuwepo kwenye dhambi.

Bas hapo abdala kichwa wazi anakusumbua mwenywe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ila melo angeandaa tuzo wallah kipengele cha kupenda mbususu ungechukua wewe
 
Bas hapo abdala kichwa wazi anakusumbua mwenywe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ila melo angeandaa tuzo wallah kipengele cha kupenda mbususu ungechukua wewe
Nyie ndio mnanifanya nishindwe kuacha maana mtu akipost tuu mambo ya mbususu mna nimention. Ila nikiwatomgoza ili nioe nitulie htaki lakini kwenye thread mnasema oh wanawake runapenda bad boys
 
Ewaaaaaaahhhh, sasa hao Ke expensive, afu beauty with brain mmojawapo ni mimi. Ushindwe tu mwenyewe. Yaani huwezi juta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa!!!!
 
Uzi upo juu juu kama tunasoma kichwa cha habari kwenye gazeti, Ebu rekebisha ongeza na nyama kidogo
 
Nyie ndio mnanifanya nishindwe kuacha maana mtu akipost tuu mambo ya mbususu mna nimention. Ila nikiwatomgoza ili nioe nitulie htaki lakini kwenye thread mnasema oh wanawake runapenda bad boys

Nani aowe???
Wewe au mwingine
Yan 24/7 unaongelea mbususu huyo mke si atarudi kwao baada ya mwezi
Usiowe tuu we zichakate uwezavyo maisha yenywe haya jimwage baba
 
Nimevutiwa na Uzi wako ila naomba nikujue kiundan karbu PM
 
Back
Top Bottom