[emoji23][emoji23]huwa inatokeaga lakiniSasa Hannah ukiangalia hawa wote wanne hakuna aliyetongoza yaani mtu unaangaliwa machoni na paap umeliwa?
Mwanaume utajiuliza tu kwa hali hii kaliwa na wangapi?
Na wanalowa haraka eti? Hutumii nguvu kumwandaa[emoji23]Seems una endeshwa sana na nyege
Mademu kama wewe mnakuwaga watamu kweli yaani [emoji39][emoji39]
Maana Huwa mnajiachia na kutoa yote bila hiyana
Hannah ni kweli hii inaweza kumtokea kila mtu walau mara moja hii ya mara 4 mfulilizo...tena kwa usiowafikiria...je aliowafikiria na wamemla kwa staili hii ni wangapi?.[emoji23][emoji23]huwa inatokeaga lakini
Na mbeengo zetafongokaaaaBaba kateka jena la yesu tonakoshokoro kwa jeoni ya leo,asante kwa kotofekesha moda hoo,rebarekewe jena lako, Amen.
wanaume wengi wanaojua hii technique wanawala sana dada zetu saana yaani.....Sasa Hannah ukiangalia hawa wote wanne hakuna aliyetongoza yaani mtu unaangaliwa machoni na paap umeliwa?
Mwanaume utajiuliza tu kwa hali hii kaliwa na wangapi?
Wacha vijana waongeze kurasa za utamu kwenye vitabu vyao vilivyojaa kurasa za misukosuko kuweka balance. Hata hao China unaowasifia wanaongoza kwa idadi duniani hii inamaanisha moja ya msukumo wa kazi zao ni uzinzi.Uzinzi, uzinzi, uzinzi..
Shetani ameshikilia sana ufahamu wetu vijana. Kwa namna hii hatuwezi kulikomboa hili Taifa dhidi ya wale maadui 3; ujinga, maradhi na umasikini.
Wakati vijana wenzetu kule China wanafikiria kuhusu namna ya kubuni teknolojia mpya ili kurahisha maisha, sisi tunajadiliana kuhusu uzinzi na uasherati.
Mungu atusaidie sana kwakweli.
KhaaaaaaaaaaHawa ndio kina rose,neema, irene n.k wanaliwaga tu na mtu,cheo,hata na age yoyote.
Mitaa hii usipite bhana๐Na mbeengo zetafongokaaaa
Nakuona mtumishi katika ubora wako๐Mitaa hii usipite bhana๐
Hannah ni kweli hii inaweza kumtokea kila mtu walau mara moja hii ya mara 4 mfulilizo...tena kwa usiowafikiria...je aliowafikiria na wamemla kwa staili hii ni wangapi?.
Usiwe mgumu sana na usiwe mrahisi kupitiliza hii ndio hoja yangu...onyesha thamani yako...ringa kidogo tu mwanamke[emoji23]
Hannah mwaliko wako naukumbuka pia nakuja
Msichokijua wanaume tunajivuniaga sana ke expensive na awe na akili flani aah hapo ni mkataba.Hako kawiki ka kukuzungusha kila siku usiku tunatoka dinner nakula nashushia na Savannah nne. Kisha ndio nitakubali.
Hapo si nitakuwa expensive?
Utasimulia mahaba tu sio kingineUmenena vyema. Hapo nimekuelewa.
Karibu sana mkuu, pengine na mimi nitapata kisa cha kuja kusimulia hapa.
Ewaaaaaaahhhh, sasa hao Ke expensive, afu beauty with brain mmojawapo ni mimi. Ushindwe tu mwenyewe. Yaani huwezi juta.Msichokijua wanaume tunajivuniaga sana ke expensive na awe na akili flani aah hapo ni mkataba.
Epuka kuzungusha mda mrefu zaidi pia waweza kutomwa[emoji28]
Ubora upi sasa na weweNakuona mtumishi katika ubora wako๐
Mwishowe tutakwambia kwenye miti hakuna wajenzi๐