Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hatari sanaJews ni watu smart sana kwenye technology na kwenye kufanya maamuzi, Hakuna wa kupambana nae pale middle east.
Watu hatari sana
Atarushiwa 200x1000Kama moja tu lilichimba mpaka handaki
Mteule unateseka ukiwa wapi? Inasikitisha kuona watu wanaojinadi kuwa wateule wana iq ndogo sana.Kama moja tu lilichimba mpaka handaki
Tena vifo vya watu.Ajabu sanaWabongo mnapenda kushabikia mambo hata yasio ya msingi kwenu!
Umasikini, kukosa kazi na dini zimewafanya kuwa wajinga wajingaWabongo mnapenda kushabikia mambo hata yasio ya msingi kwenu!
Bomu linalotupwa kwa ndege ni tofauti na linalotupwa kwa surface-to-air missile moreover long range.Kama moja tu lilichimba mpaka handaki
Kabisa!Tena vifo vya watu.Ajabu sana
Sure, hawajui huko Gaza ukiacha Waislamu hata Wakristo wenzetu wanakufa, ila sisi kazi kushabikia tu.Umasikini, kukosa kazi na dini zimewafanya kuwa wajinga wajinga
Ndege zingeingilia wapi ?Bomu linalotupwa kwa ndege ni tofauti na linalotupwa kwa surface-to-air missile moreover long range.
Iran ingetuma ndege obvious madhara yangekua makubwa zaidi
Makombora yameingilia wapi? Israel is not invicibleNdege zingeingilia wapi ?
Ayatollah sio MnyikaHaha,
Kombora la kwanza tu likitua Ayatollah anawahishwa kubutua mabikra huko