Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
Mimi kama kesho Nina SAFARI ya mkoani amabayo basi ni lazima litokee ALFAJIRI age mbeya MWANZA na mikoa ambayo basi ikitokea ASUBUHI inafikia usiku ambapoara nyingi nakuwanakata tiketi siku 1 au siku 2 kabla basi hiyo siku yasafari nakuwa silali au kama vile zamani basi pekee za Moja kwa Moja ambazo zinatika asubuhi sana mm hiyo siku silali usingizi wangu naulipa kwenye basi
Nafika mapema sana saa limoja au mawili kabla nipo kwenye bus
Lakini kama ni hivi vimkoa basi lipo Hadi la saa 4 asubuhi au saa 6
Sasa niamkie asubuhi saa 10 au 11 ya Nini nitoe pesa ya Bure ya boda au Bajaj mana usiku daladala tabu huwa naondoka mida ya hiyo unlesslabda iwe safari lazima nifike muda fulani
MAISHA yangu yote sijawahi kuchelewa basi ambalo nishakata tiketi tayari
Naonaga ni wazembe na mabwege mno utachelewaje Asubuhi ambayo hata excuse ya foleni hakuna
Nafika mapema sana saa limoja au mawili kabla nipo kwenye bus
Lakini kama ni hivi vimkoa basi lipo Hadi la saa 4 asubuhi au saa 6
Sasa niamkie asubuhi saa 10 au 11 ya Nini nitoe pesa ya Bure ya boda au Bajaj mana usiku daladala tabu huwa naondoka mida ya hiyo unlesslabda iwe safari lazima nifike muda fulani
MAISHA yangu yote sijawahi kuchelewa basi ambalo nishakata tiketi tayari
Naonaga ni wazembe na mabwege mno utachelewaje Asubuhi ambayo hata excuse ya foleni hakuna