Umewahi kubadilisha maisha yako kwa kupitia pesa za betting?

Umewahi kubadilisha maisha yako kwa kupitia pesa za betting?

Habari wana JF.

Hivi ni kweli watu unapiga pesa kupitia company za betting au kubashiri kuhusu mpira au baadhi ya michezo mengine.

Kikwel sijawh kuon mtu kapata pesa kupitia betting wala sidhn na kuna watu unapiga pesa kwel au ni maisha yao ya kila siku.

PESA ZA BETTING YAMEWAHI KUBADILI MAISHA YAKO?
 
Habari wana JF.

Hivi ni kweli watu unapiga pesa kupitia company za betting au kubashiri kuhusu mpira au baadhi ya michezo mengine.

Kikwel sijawh kuon mtu kapata pesa kupitia betting wala sidhn na kuna watu unapiga pesa kwel au ni maisha yao ya kila siku.

PESA ZA BETTING YAMEWAHI KUBADILI MAISHA YAKO?
Anaejua trick ya ku win virtual bet anifundishe
 
Wengi wanaoshinda hizo pesa huyeyuka bila kufanya maendeleo ni watu wachache Sana wanaotulia na kufanya maendeleo..kama wanaoshinda wapo 10 basi 2 ndio unaweza Kuta wamefanya kitu..Kuna mtu alipata 20 mill karibu nusu ilirudi kwa mhindi na nyingine alikula Bata...saiv Hana hata kumi...
Hapa nazungumzia wale ambao kaweka 500 au 1000 kajikuta kapata 10 mill ila wale wanaofanya betting kama uwekezaji hao akili imetulia maana mtu ukiangalia akaunti yake ana 5 mill and above ya kuchezea..Leo anaweza akaliwa 1 mill kesho akapata 2 mill..
 
Demu wangu hajui mpira wala mchezaji lakini alibet akashinda kshs 200k akabadilisha sebule kaeka masofa ya kwenda na mtivii inch 49 cha ajabu kila nikimshawishi abeti tena hataki.
 
Demu wangu hajui mpira wala mchezaji lakini alibet akashinda kshs 200k akabadilisha sebule kaeka masofa ya kwenda na mtivii inch 49 cha ajabu kila nikimshawishi abeti tena hataki.
Hahhaa naona unataka tumia nyota yake hapo kutoboa
 
Demu wangu hajui mpira wala mchezaji lakini alibet akashinda kshs 200k akabadilisha sebule kaeka masofa ya kwenda na mtivii inch 49 cha ajabu kila nikimshawishi abeti tena hataki.
200k inatosha kununua vitu vyote hivyo?
 
Back
Top Bottom