Mkuu ni ishu sana ,mi binafsi kiwango cha juu ni mil 1-5 lakini mpaka ubahatishe umepigwa sana piaUkiona hii michango ya"kuna jamaa alishinda milioni kadhaa wa kadhaa",mara jamaa mwingine alishinda milioni 30,"unaweza hisi ni rahisi kama kunywa maji,jaribu sasa uone mziki[emoji23][emoji28]
Habari wana JF.
Hivi ni kweli watu unapiga pesa kupitia company za betting au kubashiri kuhusu mpira au baadhi ya michezo mengine.
Kikwel sijawh kuon mtu kapata pesa kupitia betting wala sidhn na kuna watu unapiga pesa kwel au ni maisha yao ya kila siku.
PESA ZA BETTING YAMEWAHI KUBADILI MAISHA YAKO?
Tangu nianze kubet mwaka 1 sasa nishaliwa Zaid ya mil 2 alafu Mimi bado cjala ata laki 2Mkuu ni ishu sana ,mi binafsi kiwango cha juu ni mil 1-5 lakini mpaka ubahatishe umepigwa sana pia
Anaejua trick ya ku win virtual bet anifundisheHabari wana JF.
Hivi ni kweli watu unapiga pesa kupitia company za betting au kubashiri kuhusu mpira au baadhi ya michezo mengine.
Kikwel sijawh kuon mtu kapata pesa kupitia betting wala sidhn na kuna watu unapiga pesa kwel au ni maisha yao ya kila siku.
PESA ZA BETTING YAMEWAHI KUBADILI MAISHA YAKO?
Nichek Whatsapp 0745197224Anaejua trick ya ku win virtual bet anifundishe
Hahhaa naona unataka tumia nyota yake hapo kutoboaDemu wangu hajui mpira wala mchezaji lakini alibet akashinda kshs 200k akabadilisha sebule kaeka masofa ya kwenda na mtivii inch 49 cha ajabu kila nikimshawishi abeti tena hataki.
200k inatosha kununua vitu vyote hivyo?Demu wangu hajui mpira wala mchezaji lakini alibet akashinda kshs 200k akabadilisha sebule kaeka masofa ya kwenda na mtivii inch 49 cha ajabu kila nikimshawishi abeti tena hataki.
Kenya shilling, anaishi Nairobi.200k inatosha kununua vitu vyote hivyo?