Umewahi kufanyiwa visa gani na mwanamke wako? Ulivikabili vipi?

Umewahi kufanyiwa visa gani na mwanamke wako? Ulivikabili vipi?

Shiika

Senior Member
Joined
Aug 29, 2024
Posts
145
Reaction score
203
Heshima kwenu waungwana👊,

Tushare visa tulivyowahi kufanyiwa na wanawake/mademu zetu na namna tulivyovikabili ili tuongeze maarifa ya kuishi na hawa viumbe waliotusengenya na shetani pale Edeni 😅.

Mie naanza vya kwangu:

👉 Miaka iliyopita, nilikuwa nakula demu mmoja hivi wa kinyaturu. Huyu demu nilikuwa namtumia pesa mara kwa mara kwa miamala midogo midogo, kama vile 20k hadi 50k. Jumla haikupungua 200k kwa mwezi. Siku moja tulipishana kauli, akanisimanga: "Hunitishi na vihela vyako vidogo vidogo..." (Sikuwa nimegusia issue ya hela).

Soln: Nilikausha kumtumia pesa, vocha & kulipia bills zake. Alipougua niliishia kumpa pole ya mdomo. Alianza kulalamika nimebadilika, na kuniomba msamaha. Nami nilimjibu: "Hujanikosea, maisha yamekuwa magumu sina hela." Nilikaza mpaka mwisho, akajiengua.

👉 Mwingine alitaka kutumia sex kama silaha ya kuninyanyasa. Anakuja home, nikiomba anadai amechoka... mara oh niko Pd. Nikamvumilia na akafanya kuwa mchezo wake.

Soln: Siku moja, kaja nami nimetoka safari ya mbali nina ukame. Akaniletea zake tena, nikamuuliza: "Umechoka? Mbona mara zote we umechoka?" "Sasa kuanzia leo nakupandisha cheo, kuna kidada kizuri kuliko wewe, kinanimezea mate kila siku, kitakuwa kinakusaidia rasmi. Wewe utaamua unavyoona, ila sina appetite na wewe." Nilinuniwa, kila akinihitaji nami namjibu nimechoka 😂.

Asanteni, karibuni tuendelee...
 
Kuna huyu nimeshamtolea mahari, naishi naye, ila hataki kunipa sikio kabisa.... Yani tumaelekezo tudogodogo ninavyotoa hataki kabisa kuvifuata...

Sasa mwaka huu nampa cheo cha "SINGLE MOM" rasmi..
 
Kuna huyu nimeshamtolea mahari, naishi naye, ila hataki kunipa sikio kabisa.... Yani tumaelekezo tudogodogo ninavyotoa hataki kabisa kuvifuata...

Sasa mwaka huu nampa cheo cha "SINGLE MOM" rasmi..
Polepole mkuu, usiupige mwingi sana,single mom wanatosha sasa😅
 
Sina Cha kuchangia,pengine umri unanitupa mkono, hakuna jipya kwangu...hakuna rangi sijaona kwenye mahusiano.
 
Mwanamke wangu kivipi? Sitaki mazoea wala stori zake siyo mwanamke wangu ni mwanamke wa Babake
 
Mimi huyu bibie najua kabisa ananipenda sana,tulikotoka mpaka tulipo.Sasa mimi kiasili huwa natabia ya ujuaji na nikiamua kitu nimeamua.Yeye ananisikiliza tu anafata.

Sasa huwa narudi nyumbani kwa kuchelewa sana ,karibu kila siku.Washaongea weeee wakaona waniangalie tu.

Sasa nikapata mali mpya ,muda hautoshi .Nikaanza kujikuta nalala nje.Aisee huyu bibie sina hili wa lile akabeba kila kitu akapotea na mtoto nisijue yuko wapi.

Aiseee nimechoka kuandika hii situation ilininyoosha .Mpaka nikawa najifanya chizi nachoma nguo zangu ili arudi.Aliniweza aisee.
 
2021 hyo Nipo na mtoto wa kinyaramba nimetoka zangu harakati nime shushia supu ya pweza mixer alkasus na tembea narusha karanga moja moja mdomoni najua leo mbususu uhakika..

Eeh from no where nimefika mageton et mtu amenuna.. nikasema hapa ndo fresh Mpaka saa sita atalegeza tu.. dadek muda unazidi kwenda expectations zina nitesa mpka saa saba mtu kagoma

Solving
Nikamchana live endelea kuringa linga wenzako wananitaka nikaamka taratibu akajua naondoka 😁 wee naondokaje kwangu nikachukua sabuni na taulo nikaanza kupandisha bendera anashangaa tu... et wewe utajiumiza 😂
 
Kuna huyu nimeshamtolea mahari, naishi naye, ila hataki kunipa sikio kabisa.... Yani tumaelekezo tudogodogo ninavyotoa hataki kabisa kuvifuata...

Sasa mwaka huu nampa cheo cha "SINGLE MOM" rasmi..
Anazingua
 
Nikikumbuka niligonganisha magari nikawaachia geto siku 3 sijui walikuwa na mpango gani wakaungana na kukaa kwangu siku 3 walipoona sitokei kila mtu akala kona.
 
Back
Top Bottom