Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kabisa, wasihusishe mapenzi na vitu vya kijinga.[emoji16][emoji16][emoji16] thread ifungwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, wasihusishe mapenzi na vitu vya kijinga.[emoji16][emoji16][emoji16] thread ifungwe
Mapenzi hayafilisi, nyie tafuteni pesa halafu mje tutumie.Hayajakusibu, au yashakusibu unajitutumua mbele ya wakulungwa wenzio
Sahii kabisaKinachotuponza sana siku hizi ni matarajio makubwa
Aiseee jina lako lina sadifu matendo yakoTupo wengi mkuu, naikumbuka 2018 January nikajipigia zangu 2.3m. Huyu ex nilivyokua nampenda sijui siku nina shida ya usajili wa biashara ama chochote tra nitakuta nadaiwa bei gani maana nilitumia jina langu kumfungulia salon ya kike
Niko hivi piaHonestly kwangu Hapana,
ila nmeona kwa wengi wa karibu yangu wakifilisika na kubaki majuto.
(Hii imenipa funzo pia)
Kiukweli,
Bajeti yangu ya mapenzi huwa Ni kile Cha ziada tu, na sio eti najitoa kwa Hali na Mali[emoji4]
(Ndo maana hata siku Moja sijawahi kubreak up na mwanamke afu eti nikamdai nilivomnunulia au kudai fidia)
Nikiona mapenzi yanaingilia mzunguko wangu wa Ela, huwa nachukua hakua za haraka sana (ziwe mbaya au nzuri au zakuumiza) ilimradi tu kurescue situation [emoji4]
[emoji16][emoji16][emoji16] muache Evelyn Salt wetu bwana, legend huyo[emoji119]wadau tuanze kujifunza hapahapa huko mbele tusifanye makosa tena,
tapeli wa kufilisi mitaji na mshahara ana sound kama hivi
Yeah for sure, muhimu kupambania Maisha yako 1st[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nshasema huu ukuda wa kukwanguana hela na watu tumejuana ukubwani hapana[emoji23][emoji23]mda wowote anaamsha aiseeh labda hela zile za ziada ambazo hazina michongo
[emoji457][emoji375]Huu uzi unatakiwa Ujae madini sana,ni mzuri kwa vijana pia wajifunze
[emoji16][emoji16][emoji16]Laki ya kwenda kusuka?!!! anasuka ukoo ama Jumuiya??!!! Mapenzi ya kihindi ukiyaleta bongo lazima ufilisike
[emoji457][emoji375]Yani mwanamke hawezi kunifilisi kamwe
Hata aniroge mimi na pesa tunaheshimiana sana
Hapana mkuuAiseee jina lako lina sadifu matendo yako
OkayHapana mkuu
mtu mwenye busara jukwaa zima 😁[emoji16][emoji16][emoji16] muache Evelyn Salt wetu bwana, legend huyo[emoji119]
Nyokoooo [emoji119][emoji16][emoji16]mtu mwenye busara jukwaa zima [emoji16]