Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
NdiyoHahahha kumbe🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiyoHahahha kumbe🤔
Yan samaki na mm tunaelewana hapa ngoja nikawatafute nijipikilishe michemsho 😀Daaah 🏃 🏃 🏃 🏃
Nipe maelekezo na ni tii maagizo, niweze kufika kwako, angalau nionje mapishi yako.Chungu kinaraha yake nimenunua hiv karibuni Cha kiswahili buku 3 tu 😂
Hongera zako binafsi samaki wa kukaangwa. Ndo wapo vizuriiiYan samaki na mm tunaelewana hapa ngoja nikawatafute nijipikilishe michemsho 😀
Kisamvu kitiwe karanga na migebuka plus pilipili🙌😋 utamu mpaka kichogoniMpishi alipika vibaya kwakweli mie kisamvu bila karanga sili, majani ya kunde pia bila karanga sili....
Eeeh na migebuka tena hii mupya kwangu, migebuka naisikiaga tu hata kuiona sijawahi.....ngoja niiguguKisamvu kitiwe karanga na migebuka plus pilipili🙌😋 utamu mpaka kichogoni
Hiyo mixer raha upikiwe na watu wa Kigoma au wakongo! Tresor Mandala anaelewaEeeh na migebuka tena hii mupya kwangu, migebuka naisikiaga tu hata kuiona sijawahi.....ngoja niigugu
Migebuka mitamu mno...Eeeh na migebuka tena hii mupya kwangu, migebuka naisikiaga tu hata kuiona sijawahi.....ngoja niigugu
Wewe ni kiboko, japokuwa huishi majiniPinat bata ni karanga eee, kama CHAPUTA wanatumiaga picha kumaliza shida zao, why mimi nisitumie hii picha kulia ugali
Chapati umezitoa vzurMm mmojawapo naipenda mno
Nilipika na chapat aisee noma View attachment 3076590
Wewe ni kiboko, japokuwa huishi majiniPinat bata ni karanga eee, kama CHAPUTA wanatumiaga picha kumaliza shida zao, why mimi nisitumie hii picha kulia ugali
😁😁😁🤣🤣🤣🤣Niitaka uje unipikie; ila kwa kuwa vitunguu havijaiva, na dagaa umewapika na vichwa vyake, usije tu
Nawapenda tu...na samaki ninazopenda ni zile kavu kama vibambarahivi mnakula dagaa kwa sababu hamuwezi kununua samaki au ni nini? binafsi sijawahi elewa sababu hasa ya kula dagaa wakati samaki wapo kibao wabaharini na ziwani mpaka mtoni kama kambale …
Lilitoka nikalila ila sio tamu sana 😎Pilau liliiva?
Mimi migebuka napenda ngozi yake😋 sijisikii raha kula bila ngoziMigebuka mitamu mno...
Unavijua Vibambala Eve?
HahahahahaMigebuka mitamu mno...
Unavijua Vibambala Eve?
Umeniiga😎Lilitoka nikalila ila sio tamu sana 😎
Hahahahaha, unanikumbusha mbali sanaHiyo mixer raha upikiwe na watu wa Kigoma au wakongo! Tresor Mandala anaelewa
🙄🙄🙄Umeniiga😎