MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Mabeki wengi wakikutana nae huwa wanasema anachafua hali ya hewa, mabeki wanapoteza umakini jamaa ndio anatupia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu umemissKila mpira? Mechi yao ya mwisho na sevilla alifunga mangapi? Mechi ya man cit vs madrid alifunga ngapi? Hizo ndo mechi za kiume unaweza kumpima
😁😁😁 hizo mechi nilizo taja hakuchafua?Kuna kitu umemiss
Mabeki wengi wakikutana nae huwa wanasema anachafua hali ya hewa, mabeki wanapoteza umakini jamaa ndio anatupia.
View attachment 2660308
Inawezekana alichafua na wenzie wakachafua zaidi na akachefukwa 🤣🤣🤣🤣😁😁😁 hizo mechi nilizo taja hakuchafua?
Kwambaaa..............🤣🤣🤣👏Mabeki wengi wakikutana nae huwa wanasema anachafua hali ya hewa, mabeki wanapoteza umakini jamaa ndio anatupia.
View attachment 2660308
Huu utaratibu inabidi maforward wetu wapewe elimu kdogoMsaga sumu thread zako huwa unafanana nazo🤣🤣🤣
JiniMabeki wengi wakikutana nae huwa wanasema anachafua hali ya hewa, mabeki wanapoteza umakini jamaa ndio anatupia.
View attachment 2660308
Over rated player hana tofauti na kibu D wangu pale lunyasi nguvu mingi akili kisodaMabeki wengi wakikutana nae huwa wanasema anachafua hali ya hewa, mabeki wanapoteza umakini jamaa ndio anatupia.
View attachment 2660308