FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
- Thread starter
-
- #41
hehehe!
mimi pia nakushauri hawa wa-kimya achana nao!ugomvi wao ni mkubwa sana akikasirika.anakuwa na malimbikizo ya hasira zote za makosa aliyokaa kimya
si kampani tu!Mdogo wangu wa nini na wakati wewe una mke Geoff?
Mfundishe anywe japo ka-brandy nusu, vinginevyo utaboreka au ukikutana anayestua kilaji inaweza kuwa hadithi ingine. Pia nawaza ukirudi nyumbani una harufu ya kilaji na mwenzio haonji unategemea nini?
hahahah wewe ukoje Geoff?
si kampani tu!
wife wangu hagusi kinywaji,NA HATAKI KUSIKIA!
Kwa hilo hana hata tatizo, tena kuna kipindi nilitaka kuacha kabisa kunywa. ILa sema yeye mwenyewe ndio mnunuaji mzuri wa wine na kuniletea, anasema niwe nakunywa wine na sio beer.
Kumbe anataka wewe unywe wine. Hasa mida ya kulala au vp? Na yeye ni juice ya passion tu. Sasa namuelewa, anayo akili.
Kwani wine inasaidia nini mida ya kulala?
Halafu Nyamayao wewe kama yule Nyamayao wa maaigizo,eeehh ikawaje sasa?Naamini haumkuchunia
na mapigo ya moyo yanasaidia nini wakati wa kulala?Inaongeza mapigo ya moyo kwenda kasi zaidi
hakika sikutanii festiledi,
ninayo mifano.lakini mkubwa zaidi ni wa my fiance!yeye ni mkimya.niliwahi kuongea kitu fulani kikamuudhi sana,lakini hakuniambia.mimi nikajua easy!
Cha ajabu ni kwamba alikuwa anafanya mgomo baridi,kwenye ishu ya kutoka out(hiyo kauli niliiongea tukiwa kipepeo-beach-outing).tulikaa mwaka alikuwa hataki kutoka.mimi nikajua easy tu!baadae nikakuta mwenzangu anazidi kunibadilikia....!nilivyoona hali mbaya na mimi nikakasirika.tulipoamua kumaliza tofauti zetu na mapenzi yaendelee i was shocked!....nilipoambiwa chanzo cha tatizo
kha!ndio nani tena huyo CHE unaenifananisha nae?.....unajua kuna wanaume hawana utu kabisa, nipo nae dinner 2meachana vizuri ucku huo, kesho yake namtumia sms ya gmrng mtu kimya, nikaamua kucal kabisa simu hapokelewi eeh kumbe mwenzangu ndio imetoka hiyo.
vipi,
kitandani ulikuwa vizuri baibe?!?!
lol!ulikuwa wrong.sisi wanaume wapwa hatunaga ma-problem!kama unabisha njoo mkulima pub leo ubungo-kona!tunakutana pale kwa ajili ta kitimotom na bia.hatuna tatizo kabisahapo hapana maelezo mana kama ningekuwa vibaya angeshaniacha mapema....ni 2yrs tupo pa1 na mikakati kemkem, alinifanya nikaogopa wanaume sana nikaona kila mmoja atanitenda kumbe nilikuwa wrong....
ndio nani tena huyo CHE unaenifananisha nae?.....unajua kuna wanaume hawana utu kabisa, nipo nae dinner 2meachana vizuri ucku huo, kesho yake namtumia sms ya gmrng mtu kimya, nikaamua kucal kabisa simu hapokelewi eeh kumbe mwenzangu ndio imetoka hiyo.
lol!ulikuwa wrong.sisi wanaume wapwa hatunaga ma-problem!kama unabisha njoo mkulima pub leo ubungo-kona!tunakutana pale kwa ajili ta kitimotom na bia.hatuna tatizo kabisa
kha!
nyamayao,hili limenisikitisha sana.ni-pm namba zako nikupigie shortly
sijakuelewa binamu hapo!😀naona kama unaanza kushusaha verse binamu weye
hahahaha!hamnaga adhabu nzito kwangu kama kukatwa jicho,unaopandishwa,unashushwa kama mara kadhaa halafu unafyonywa!lol.halafu unaweza kuona baadhi ya wanaume walivyo wa ajabu, kackia nimepowa, akaanza usumbufu wa calls na kila namna tuweze kuonana, nilikuwa nampa wazi kwamba mie ni mchumba wa mtu na bado cku chache niitwe mrs, ananiambia eti mie ndio nilikuwa chaguo lake, alikuwa ananifanyia vituko kwenye fone mpaka ikabidi nimwambie mr ukweli akaniambia wala ucjali tupo pa1.....tulikutana nipo na mimba ya miezi kadhaa anadani yaani ulivyopendeza mie ndio nilistahili kukupendezesha, nilimkata jicho baya walaah hakuamini.