Umewahi kukuta watu wanakula tunda live?

Umewahi kukuta watu wanakula tunda live?

Status
Not open for further replies.
Mkuu ungeiendeleza hii story!
Kipindi niko dogo dogo nilkua nakaa"
Na Bro Wangu.....Ye Ameoa....Afu Shem Ni Mtata Mno!!!!

Alikua Ananiendesha Kama Gari Bovu....Tabora Huko.....sasa Kuna day....Napita zangu chocho flan matata hiv mida ya saa2....usik..kuna jumba bovu pemben...nikasikia miguno....nikastuka duu......zen ubongo na nafs!! Vikasema Nenda kachek!! Kufika Napga Chabo mala paap "" mke wa broo amenyanyuliwa mguu mmoja;;; Afu Jamaa anasukuma rungu........Nilstuka Wakuu.....Nikamuita Huku Siamin Shemej!!!!''!! Alistuka Huyo Afu mim shaaaaa sp!d kali.......homeee..kama dakika 10 Huyu Hapa.....full kujichekesha kwangu.....wakat siku zote ...wambuz hapend niishi pale*

N.B..
Sikumwambia Bro""" Japo aliona Mabadiliko....hyo moment shem alinipenda mno....full utawala..na kunikingia kifua hata nilipoharib,
Japo hyo hari haikudum miez 6.....
 
Wakati nasoma kulikuwa na dada mmoja class (chuo) aliniazima calculator yake akaenda nayo chumbani kwake kwa minajili ya kwamba ataniletea usiku saa tatu kwenye discussion (tulikuwa na test ya QMS kesho yake).

Ilipofika usiku tumepiga discussion demu hajatokea mpk saa tano usiku na mie claculator yangu naihitaji mno kusolve mambo. Kwa kuwa nilikuwa nakijua chumba chake nikaona ngoja nitimbe nikaichukue (kipindi hicho simu za mkononi bado). Basi ile nafika nikasikia radio inapiga so nikagonga hodi kimya nikaamua kufungua aisee nilikuta yule dada anagigwa doggy style habari hawana wameloa jasho kwa mtanange. Nilipigwa na butwaa kama sekunde 30 hivi ndio network ikarudi nikafunga mlango nikasepa kimyakimya na wala hawakuniona

Navyo visa vingi vya kushuhudia mtanange live hebu leo tushee hapa matukio including chabo za kudhamilia
Bila shaka chuo ni Mzumbe Moro na hilo bweni ni Mama Maria au Kinje!!!
 
Mimi nililala nao kitanda kimoja style ile ya mzungu wa nne....wakidhani nimelala wakaanza yao...mambo yalipozidi gumba la mguu la demu likawa linanisugua kisogo bila yeye kujua
Kama kuna siku nilipitia nyakati ngumu ile ilikuwa mojawapo na walikulana karibia dakika 20 hivi

Jr[emoji769]
Pole kwa kulazimika kumwaga bila kufanya mapenzi
 
Ilikuwa ndanda sec miaka hiyo inachukua boys na girls. Jioni mda wa michezo mara mvua ikaanza kunyesha. Watazamaji wakakimbilia bwenini sisi wachezaji tukaendelea na soccer, mshkaji na Dem m1 wakajificha chini ya paa la zizi la ng'ombe lililopo karibu. Mara Mpira ukatoka nje ukaenda karibu na pale walipo. Mm ndiye nilienda kuuokota

Nikamkuta jamaa amemuinamisha yule Dada anampiga Chuma mboga. Na kwa bahati nzuri, mpira uliangukia palepale miguuni pao. Mshkaji aliuchomoa mkuyenge fasta.
Ya chuoni ndo usiseme. Nilishuhudia mengi saaaaana
 
Mara kibao....Wengine jana nilipishana nao wanakula tunda, kila mtu kipande chake. Lilionekana kukomaa sana lile tikiti maji.
 
Kuna majirani nilikuwa nakaa nao kipindi nipo chuo.

Ni nyumba washkaji tupu walikuwa wanakaa.

Wakaopoa goma lao wakalileta hapo kwao.

Wakaanza kula mande. Nikaitwa kwenda kula ila nikaona kinyaa tu. Ila nilikuwa nawaangalia wanakula goma bila aibu.

Ila sisi binadamu wachafu sana, hatuna kinyaa.
 
Macho yaliona yakapeleka kwenye ubongo kuuliza hiki naona ni sawa?

Ubongo ukasema kimbia utasababisha mauaji.

Nikautii ubongo, nikatoka mbioo, kufika nyumbani akili ikaniambia umefumania bila kudhamiria wala kutarajia.
Chakufanya futa hiyo kumbukumbu kisha endelea mbele, akijirudi kubembeleza muendelee usikubali katuu sababu ile picha itajirudia kwenye ubongo nawe bila kutarajia utaanza kujawa na hasira kisha chuki na kitachofata ni hatari zaidi.

Nilishuhudia aliyekuwa mpenz wangu akimgegeda aliyenitambulisha kuwa ni family friend wao. Tangu hapo sijashuhudia tena watu wakigegedana zaidi ya bata.

Kasie Matata.
Kasie Mtata, unanikosha sana unavoandika we mwanamke.
 
So ulikimbia mbio ili kufuta picha uliyoiona eeeh!! 🤣
Macho yaliona yakapeleka kwenye ubongo kuuliza hiki naona ni sawa?

Ubongo ukasema kimbia utasababisha mauaji.

Nikautii ubongo, nikatoka mbioo, kufika nyumbani akili ikaniambia umefumania bila kudhamiria wala kutarajia.
Chakufanya futa hiyo kumbukumbu kisha endelea mbele, akijirudi kubembeleza muendelee usikubali katuu sababu ile picha itajirudia kwenye ubongo nawe bila kutarajia utaanza kujawa na hasira kisha chuki na kitachofata ni hatari zaidi.

Nilishuhudia aliyekuwa mpenz wangu akimgegeda aliyenitambulisha kuwa ni family friend wao. Tangu hapo sijashuhudia tena watu wakigegedana zaidi ya bata.

Kasie Matata.
 
Chabo sana tu ila hiyo siku 1 huyo jamaa alikua anatusubiria

maana alishajua lazima tutaenda,pona yangu ni kwamba hiyo siku

ilikua sio zamu yangu kuanza kupga chabo,alikua anaanza mwenzangu

mimi nashika saa nahesabu dakika,sasa mwenzangu ile kaenda kagusa tu dirisha

asee alimwagiwa mamikojo sijui yule jamaa alitoa wapi ile mamikojo mingi vile... ...

Hahaha ... nahisi hiyo ndio ilikuwa mwisho wa Hako kamchezo kenu.!
 
Mwaka 2002 Mandela road kabla hujafika darajani kituo TOT coastmillers kwenye sanamu ya nyati ukienda kule nyuma Kuna mto unaopakanisha kigogo na tabata Mandela road kwenye huo mto nashuka nivuke muda wa kiangazi hauna maji namuona jamaa kamchanua Dem mapaja kamlalia katikati anamgegeda bahati nzuri yule demu nilikuja kumfahamu alipokuja kuolewa mbeya uyole nikamgegeda namimi kwenye kitanda Cha mme wake dreva wa magari ya mikoani.
 
Wakati nasoma kulikuwa na dada mmoja class (chuo) aliniazima calculator yake akaenda nayo chumbani kwake kwa minajili ya kwamba ataniletea usiku saa tatu kwenye discussion (tulikuwa na test ya QMS kesho yake).

Ilipofika usiku tumepiga discussion demu hajatokea mpk saa tano usiku na mie claculator yangu naihitaji mno kusolve mambo. Kwa kuwa nilikuwa nakijua chumba chake nikaona ngoja nitimbe nikaichukue (kipindi hicho simu za mkononi bado). Basi ile nafika nikasikia radio inapiga so nikagonga hodi kimya nikaamua kufungua aisee nilikuta yule dada anagigwa doggy style habari hawana wameloa jasho kwa mtanange. Nilipigwa na butwaa kama sekunde 30 hivi ndio network ikarudi nikafunga mlango nikasepa kimyakimya na wala hawakuniona

Navyo visa vingi vya kushuhudia mtanange live hebu leo tushee hapa matukio including chabo za kudhamilia
Ungewashtua wakupe calculator yko wasilete mchezo apa kesho nina test
 
Kuna ingine hiyo tulitoka disco wakati niko chuo pia nikiwa mtungi hatari. Sasa meti wangu kumbe alikuwa ameshampanga baamedi anayehudumia vinywaji pale ukumbini (madisco ya chuo) so alivyoona nimelewa na pombe niliyofakamia akahakikisha nimelala akatoka akaenda kufuata goma lake.

Sasa walipoingia mie nilistuka na pombe zangu nikaona meti kaingia na demu so nikavunga kama nakoroma kumbe naangalia tu mchezo. Basi meti alikuwa analala kitanda cha chini mimi juu (double decker). Basi anabambia baadae akaanza kunjunja. Mie kula juu nayapata makelele yote na kuangalia chini nikawa nahofia kwa kuwa ningetoa kichwa wangeniona kama napiga chabo. Basi akili ikaja nikakunja godoro upande wa kichwani nikaanza kupata picha clear kabisa. Meti alipiga mzigo na kwa bahati mbaya upande wangu nilipiga bao kule juu kabla hata ya wahusika. Baada ya bao nilipitiwa na usingizi nimeamka asubuhi demu kumbe alishasepa usiku ule ule

[emoji23][emoji23][emoji23] own goal
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom