Umewahi kukutana na majibu ya jeuri ama kuyasikia akijibiwa mtu? Let us share

Umewahi kukutana na majibu ya jeuri ama kuyasikia akijibiwa mtu? Let us share

safuher

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
11,837
Reaction score
17,412
Binafsi nimewahi kukutana na majibu ya ajabu akijibiwa mtu na mengine nikijibiwa mimi.

Leo naomba tushee pamoja baadhi ya hayo na wewe utashea pamoja hapo chini.

Kuna siku nilipata kuona sehemu fiulani kwenye foleni jamaa aliibia foleni kwenda mbele basi wadau wakaja juu aaah si ungewahi tokea jana we jamaa,jamaa akawajibu "hapa ndo nawahi kwa ajili ya kesho.
 
Kuna jamaa walitaka kutumia mwanya wa dini kukwepa kodi, halafu wakati huohuo watumie mwanya wa serikali kukwepa kutoa sadaka, basi wakamwendea Nabii wakitaka ufafanuzi. Nabii akawaomba sarafu.

Nembo kwenye sarafu hii ni ya nani? Wakamjibu kuwa ni ya mtawala wa serikali. Nabii kahitimisha: Mpeni JPM kodi yake; mpeni Mungu sadaka!^ Mchezo ukaishia pale.
 
Unanijua mi ni nani

Wakiitwa wanaume na wewe utaenda, Dume suruali

Unajifanya unawahi, si ungekuja tangu jana

Unajifanya unajuaa utasema wewe ndio peke yako msomi

Siongei na Mbwa, naongea na mwenye mbwa

Huduma sitoi na hunifanyi kitu chochote, kashtaki popote

Kwani umelazimishwa kuja hapa, shida zako si ndio zimekuleta

Pambana na hali yako, mi hainihusu
 
Siku moja maza alikua anajikosha mbele ya wageni akanambia"mbona una roho ya kishetani hivo" Nilikaa tu kimya na yeye alijua nimechukizwa sana na kauli yake ile ikapita moment of silence kila mtu anamtazama kwa maneno yake yale mazito, kiukweli kama kama sio nguvu ya roho nilkua namjibu "kmmake"
 
Unanijua mi ni nani

Wakiitwa wanaume na wewe utaenda, Dume suruali

Unajifanya unawahi, si ungekuja tangu jana

Unajifanya unajuaa utasema wewe ndio peke yako msomi

Siongei na Mbwa, naongea na mwenye mbwa

Huduma sitoi na hunifanyi kitu chochote, kashtaki popote

Kwani umelazimishwa kuja hapa, shida zako si ndio zimekuleta

Pambana na hali yako, mi hainihusu
Aisee maneno makali Sana hayo
 
Siku moja maza alikua anajikosha mbele ya wageni akanambia"mbona una roho ya kishetani hivo" Nilikaa tu kimya na yeye alijua nimechukizwa sana na kauli yake ile ikapita moment of silence kila mtu anamtazama kwa maneno yake yale mazito, kiukweli kama kama sio nguvu ya roho nilkua namjibu "kmmake"
We jamaa[emoji23][emoji23]
 
Binafsi nimewahi kukutana na majibu ya ajabu akijibiwa mtu na mengine nikijibiwa mimi.

Leo naomba tushee pamoja baadhi ya hayo na wewe utashea pamoja hapo chini.

Kuna siku nilipata kuona sehemu fiulani kwenye foleni jamaa aliibia foleni kwenda mbele basi wadau wakaja juu aaah si ungewahi tokea jana we jamaa,jamaa akawajibu "hapa ndo nawahi kwa ajili ya kesho.
Kazi ya kutawaza mbwa sifanyi, dah hua nikifikiriaga hii basi tu.
 
Back
Top Bottom