kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
Aah mi mwenyewe sijawai mbamba mchina mwenye ndevu liveLeo nimekaa sehemu nikaona kundi la wachina, nikajiuliza hivi hawa jamaa huwa hawaoti ndevu au wananyoa kilasiku.
Ni utaratibu wao wa kiasili kukaa bila ndevu au hawapendi tu, maana binafsi sijawahi kukutana hata mara moja na mchina mwenye Uchebe.
Hahaah.......mkuu nafanya nao kazi almost kila siku.Leo nimekaa sehemu nikaona kundi la wachina, nikajiuliza hivi hawa jamaa huwa hawaoti ndevu au wananyoa kilasiku.
Ni utaratibu wao wa kiasili kukaa bila ndevu au hawapendi tu, maana binafsi sijawahi kukutana hata mara moja na mchina mwenye Uchebe.
Hizo huwa ndevu bandia za kubandikaDuuh na zile movie huangaliagi za wale ma master vibabu......wahenga washanielewa
Wewe umeshawahi kukutana naye live?haaa haa...
wapo mkuu
View attachment 3064534
Ila kwa Mujibu wa mujibu wa akili mnemba wanasema ni sababu za kijenetiki, kiutamadanu na kihistoria.. kwa Hiyo yote yamo.
The perception that Chinese people generally don't have beards can be attributed to a combination of cultural, genetic, and historical factors.
- Genetics: East Asian populations, including many Chinese, tend to have less facial hair due to genetic differences compared to populations from other regions.
- Cultural Practices: Traditionally, in many East Asian cultures, facial hair was often seen as unkempt or undesirable. This cultural preference influenced grooming practices, with many men choosing to remain clean-shaven.
- Historical Influence: In various periods of Chinese history, especially during the Ming and Qing dynasties, certain styles and grooming standards were promoted that emphasized clean-shaven faces.
Mimi sijawahi kukutana naoWapo
Sio kwenye movies, mimi nazungumzia kuwaona liveDuuh na zile movie huangaliagi za wale ma master vibabu......wahenga washanielewa
Siku uwaulize kwanini hawataki ndevuHahaah.......mkuu nafanya nao kazi almost kila siku.
Naomna nikiri kwanza sijawahi kuwa makini na hilo lakini pia sijawahi kuona Mchina mwwnye ndevu😆😆😆
wamasai jeLeo nimekaa sehemu nikaona kundi la wachina, nikajiuliza hivi hawa jamaa huwa hawaoti ndevu au wananyoa kilasiku.
Ni utaratibu wao wa kiasili kukaa bila ndevu au hawapendi tu, maana binafsi sijawahi kukutana hata mara moja na mchina mwenye Uchebe.
Hizo zinaweza kuwa sababu za kweli, hata wajapani wana utamaduni wa kutokuoga asubuhi kwa sababu hizo hizoIla kwa Mujibu wa mujibu wa akili mnemba wanasema ni sababu za kijenetiki, kiutamadanu na kihistoria.. kwa Hiyo yote yamo.
The perception that Chinese people generally don't have beards can be attributed to a combination of cultural, genetic, and historical factors.
Genetics: East Asian populations, including many Chinese, tend to have less facial hair due to genetic differences compared to populations from other regions.
Cultural Practices: Traditionally, in many East Asian cultures, facial hair was often seen as unkempt or undesirable. This cultural preference influenced grooming practices, with many men choosing to remain clean-shaven.
Historical Influence: In various periods of Chinese history, especially during the Ming and Qing dynasties, certain styles and grooming standards were promoted that emphasized clean-shaven faces.
Tuwakague huenda tulionao ni femalesLeo nimekaa sehemu nikaona kundi la wachina, nikajiuliza hivi hawa jamaa huwa hawaoti ndevu au wananyoa kilasiku.
Ni utaratibu wao wa kiasili kukaa bila ndevu au hawapendi tu, maana binafsi sijawahi kukutana hata mara moja na mchina mwenye Uchebe.