Umewahi kukutana na Tabia Gani za kushangaza kwa Mama Watoto wako alipokuwa Mjamzito?

MoroGent

Member
Joined
Jan 10, 2018
Posts
84
Reaction score
343
Habari wakuu,

Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.

Hahaha

Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.

Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
 
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mnapoanza kula chakula kipi, vyakula ni vingi ujue😀😀 vumilia baba kija yatapita
 
Mh ni majanga ,wangu hataki kunipa kitumbua,napata kwa tabu sana ati anajiskia vibaya,week ya 19 sasa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…