chimulenga
Senior Member
- Jun 28, 2023
- 174
- 360
Kuna mambo mengine wanafanya kwa kigezo cha Mimba tu lakini si kwamba Mimba inamfanya awe hivyo. Wengne wanafanya makusudi tu kwa kukomoa usipo jitambua atakupelekesha mpaka basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kweli kabisa kuumwa kichefuchefu kutapits kukakataa baadhi ya vyakula ni kweli ni mimba inaweza sababisha sio et ukae na boxer hapo mmhKuna mambo mengine wanafanya kwa kigezo cha mimba tu lakin si kwamba mimba inamfanya awe hvyo.
Wanafanya kwa kufuata kwa mkumbo wengne wanafanya makusudi tu kwa kukomoa usipo jitambua atakupelekesha mpaka basi.
Kuna matendo mengine huwa matendo yanayosababishwa Na mimba Na matendo mengine ni unafki tu Wa wenye mimba
Hao watamdekea nani?afu kweli sijui kwa nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Anakuona bwege na wee unavua 😀😀😀aisee hata kibailojia hakuna mabadiliko ya ovyo kias hikoHabari wakuu,
Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.
Hahaha
Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.
Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
Na m ndo nashangaa kunawengine wanawakomoa tu 😂😂Hizo heka heka hua hazipo kwa mahouse girl wala wanafunzi
😂😂😂Siku mwambie unasafir siku Tatu uone km utamkuta amefariki atapika na atakula sema wako anadeka hata mm nitadeka 😀ilawengine wanazidishaHuyu mwanamke nataka nimpeleke kwao
Siyo kwa kunyanyaswa huku mimba gani hii hatak utoke nje hataki ukae naye mbali anataka nimpikie Mimi tu hataki apike mwingine nimechoka
Ndo hapo utajua ni drama tu hizo kunogesha mapenzi.Hizo heka heka hua hazipo kwa mahouse girl wala wanafunzi
Subiri akutemee na mate.Habari wakuu,
Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.
Hahaha
Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.
Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
Ww nae unamke?Huyu mwanamke nataka nimpeleke kwao
Siyo kwa kunyanyaswa huku mimba gani hii hatak utoke nje hataki ukae naye mbali anataka nimpikie Mimi tu hataki apike mwingine nimechoka
Wanawake wanachagua wakudekea, huo ujinga sifanyi na hakikisha naleta kila kitu, ni kikupeleka hospitali huna malaria au ungonjwa mgine unao kusumbua ni mimba tu, hapo utajijua mwenyewe, upike husipiki ni wewe tu..........mimi ntakula nakojuaHabari wakuu,
Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.
Hahaha
Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.
Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
Hayo majukumu madogo sheikh. Endelea nayo.Kuna mafuta yanauzwa 50k wanapaka tumboni na mgongoni ili ngozi ikae vzr na ujauzito ilikua ndio kazi yangu kila asub kumpaka ...na kumnyoa chini.
Habari wakuu,
Hope wote mko salama. Wale wenzangu na mimi ambao wake zao ni wajawazito a.k.a baba kijacho tuelezane na kushirikishana maswahibu na changamoto tunazopitia ili tufurahi na kupeana moyo wa kuvumilia.
Hahaha
Mwenzenu naambiwa nivue nguo nibaki na boxer tu tunapoanza kula chakula, kwamba namkera nikila na nguo.
Nafanya ivo na maisha yanaenda 19 weeks now
Dah! Uwe na staha dada yangu sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], tunatumia boxer sio hilo neno[emoji23][emoji23]Anakuona bwege na wee unavua [emoji3][emoji3][emoji3]aisee hata kibailojia hakuna mabadiliko ya ovyo kias hiko
Mbona hiz zisizo na baba hazina mambo hayo ni kujiendekeza Kuna makabila wanazaa had watoto 9 sijawah sikia wanawaambia Waumezao wakae na chupi [emoji23][emoji23]
Mfundishane huko kudeka na huyo mwenzio kama hamtaniona mpaka miezi 9 akiwa labor[emoji23][emoji23][emoji23]. Huo upuuzi sio kwangu aisee[emoji23][emoji23][emoji23]Siku mwambie unasafir siku Tatu uone km utamkuta amefariki atapika na atakula sema wako anadeka hata mm nitadeka [emoji3]ilawengine wanazidisha
Tena nyie ndo hamdanganyi kizembe😀😀😀Mfundishane huko kudeka na huyo mwenzio kama hamtaniona mpaka miezi 9 akiwa labor[emoji23][emoji23][emoji23]. Huo upuuzi sio kwangu aisee
Yote ni maneno sahihi sijatukana mtuDah! Uwe na staha dada yangu sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], tunatumia boxer sio hilo neno[emoji23][emoji23]