Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
AiseeSi useme kuwa ni wewe.
Kwamba wewe ulikuwa camera ya kufuatilia mizunguko ya hao wachumba.
Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeSi useme kuwa ni wewe.
Kwamba wewe ulikuwa camera ya kufuatilia mizunguko ya hao wachumba.
Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
Kwa mujibu wa maelezo hakuwa ex..alikuwa mpenzi msaidiziDuh aiseee soon wakataa ndoa watasajili mwanachama mpya. Jamaa hakutakiwa kusamehe bila kufahamu yanayoendelea kati ya binti na ex wake
HahahahahaKisha Jamaa akamsamehe na akaoa?
Pole yake..
One man down, i repeat one man downThe soldier is down
Ilikuwa Mwaka Jana Feb. 2022 Kuna Rafiki yangu (MSUKUMA) alikutana na Tukio moja la kimahusiano. Alikuwa na Wapenzi wawili.Ilikuwa mwaka jana mwezi wa 5.
Binti mmoja karibu na home alichumbiwa na kijana mmoja aliyekuwa mpenziwe kwa miaka 2 hivi.
Baada ya kulipa mahari taratibu za ndoa zikaanza, sasa siku moja walikuwa maeneo ya makumbusho walikuwa wanafanya shopping ya mahitaji yao nafikili ilikuwa kwa ajili ya maandalizi ya ndoa.
Walifika kwenye duka moja kijana akamwambia binti simama hapa ngoja niingine kwenye hili duka niulize kitu flani baada ya kuingia kwenye duka, Kukawa na mabinti wawili nje ya duka wakakutana na mkewe mtarajiwa huku jamaa anawaangalia. Kwa mshangao mkewe mtarajiwa akashituka, kwa mshangao kuwaona wale mabinti wawili kwa furaha kubwa sana mpaka mabinti nao wale walifurahi sana.
Mabinti wawili wakapiga sauti wifi wifi wifi Habari tumekuona siku sana na kukumbatiana kabisa na mke mtarajiwa nae kwa furaha sana aliwakumbatia. Na mabinti wawili wakawa wanamlalamika siku hizi huji hata home kujakututembelea bwana hata mama anakuulizia.
Jamaa yake akawa anaangalia mchezo na wale mabinti wawili hawajui, huku jamaa anasikia kila kitu. Mabinti wawili wakamwambika kuwa kaka anakuzingumzia sana home maana naona mnakutana mara kadhaa, Kaka yetu anasema sana home. Baadae mke mtarajiwa alijishitukia coz jamaa alikuwa anamcheki na kusikia kila kitu.
Baada ya tukio lile pale jioni ukaibuka ugomvi mkubwa tuu kati ya binti na jamaa, Mume mtarajiwa akafikisha mpaka home nia ni kuvunja uchumba , huku dada kilio kwao wakawa wanamuuliza shida ni nini alisimulia kila kitu kwao walimshangaa sana. Mshenga ikabindi awasiliana na wakwe watarajiwa kuwa muoaji anataka kuvunja uchumba ila ni vyema tukutane tusuruhishe. Wakakubaliana kusuruhisha tulio lile.
Ila waliamua Kuwaita wale mabinti wawili nyumbani kwao, mabinti wale pasipo kujua wameitiwa nini si wakaja bhana. Wakakuta tu kuna kikao na binti machozi kama yote. Waliongea na kuwaambia wale mabinti kuwa huyu sio wifi yenu na iwe mwisho leo kumtafuta na kumuita wifi na hata mama yenu mkamwambie huko.
Ila baadae waliamua kimpigia simu na jamaa kumueleza. Baadae mabinti waliomba msahama na kuondoka.
Wakayamaliza kihivyo. Kama wewe umewahi kutana na tukio kama hilo umlilisiruhisha kivipi.
KARIBUNI.