sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nakumbuka kuna kipindi nlikuwa chuoni hela yangu ya matumizi kwa mwezi ndani ya siku 10 hivi, nlimpigia simu mhusika aliekuwa akinutumia pesa jibu nlilopewa ni "mbona mapema sana subiri mwisho wa mwezi".
Hapo tayari nlikuwa na madeni kadhaa yani kukopa ilikuwa tabu.
Basi ikifika mchana nlikuwa naenda sehemu flani nachuma mapera ndio nakula. kuna baadhi ya sehemu nilianza kufukuzwa wakidai namaliza sana mapera, kiukweli ilikuwa aibu.
Kama mnavyojua matunda yanasagika haraka sana njaa inakamata baada ta masaa machache hivyo inabidi uongezee mlo kidogo stable, jibu kikawa mihogo.
Kuna elf 10 nilipata basi ndio ikabidi niipigie bajeti, jioni ikifika nlikuwa natembea mwendo wa lisaa kwa mguu naenda mbali sana huko nikiwa na chupa yangu ya maji nliyochota bombani naenda kula mihogo ya 400, kesho yake ikifika mchana kama kawaida naenda kukwea mipera.
Changamoto kubwa ilikuwa siku nyingine pera likijikusanya na mihogo huko chooni ilikuwa ni shidaaah!!
Sitakuja sahau kile kipindi.
Hapo tayari nlikuwa na madeni kadhaa yani kukopa ilikuwa tabu.
Basi ikifika mchana nlikuwa naenda sehemu flani nachuma mapera ndio nakula. kuna baadhi ya sehemu nilianza kufukuzwa wakidai namaliza sana mapera, kiukweli ilikuwa aibu.
Kama mnavyojua matunda yanasagika haraka sana njaa inakamata baada ta masaa machache hivyo inabidi uongezee mlo kidogo stable, jibu kikawa mihogo.
Kuna elf 10 nilipata basi ndio ikabidi niipigie bajeti, jioni ikifika nlikuwa natembea mwendo wa lisaa kwa mguu naenda mbali sana huko nikiwa na chupa yangu ya maji nliyochota bombani naenda kula mihogo ya 400, kesho yake ikifika mchana kama kawaida naenda kukwea mipera.
Changamoto kubwa ilikuwa siku nyingine pera likijikusanya na mihogo huko chooni ilikuwa ni shidaaah!!
Sitakuja sahau kile kipindi.