Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Hii ya TANESCO nimesikia watu wengi wanasema. Pole sana Mkuu
- Naam, niliwapa Tanesco kufunga umeme
- Masoko ya Serikali kupata eneo ndani ya jengo
- City, taa ya gari niliyoiegesha ilining'inia, kusimama kuiweka sawa haooo.. Sio watu
- Hospitali za Serikali
- Halafu kuna haya madude mawili, yanaitwa polisi na mahakama. Bila rushwa hutoboi na jambo lako..