Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Hahahahahaha nakusemea kwa bwana nyumbu haiwezekani kabisa uchangie Uzi huuUtajikomoa mwenyewe hasahasa mie ambae sifanyaji Mara kwa Mara ukisema siku utakayonipata unikomoe utachoka wewe,,,labda usiwe romantic,,,, Ila kama unanivutia mhhh sidhan kama nitachoka,,,,,,[HASHTAG]#zesh[/HASHTAG] upite kimyakimya