Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?


[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hana jeuri ya kunikimbia labda mimi ndio nimkimbie
 
Mbona unacho cha kumfurahisha we jiongeze tu, penzi lenu litaanza upya kama ndoa ya kwanza 😅😅 We jiongeze tu
 
Kwakifupi umeyataka mwenyewe na ulitaka kutiwa ndio maana ukajifanya kufuata laptop kumbe moyon ulikua unajua kabisaa unaifuata mb*oo kuikatikia.
Acha ufala wako mbwa wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ndio mkome wote wawili. Moja wewe ukome ndio zenu wanawake kujifanya haki sawa na nyie mfanye kazi nye nye nye na kuna mengi umefunika ila kazini kwako palikua mahala pa usaliti.

Mume wako nae akome, tulishawashauri sana kutooa wanawake wenye vijiajira ni wajuaji, na wahuni hakusikia.
 
Ok Asante nitajitahidi.
Japo nashinda sana home.
 
Hakuna kitu inauma Kama kuchapiwa.Me binafsi siwezi msamehe mwanamke akinichiti,narudia i will never go back to the woman who cheated.
 
Pole sana dada yangu hayo ni mapito wengi wamepitia, ukweli pia wanawake 99% waliopo maofisini wanaliwa na work mates
Lakini bora wewe umejutia kosa angekua cute wife wala asingejuta tena ndio angezidisha, bahati mbaya tu ndoa hana
Hajajutia....Alikamatwa.
 
Mkuu pole mm pia yalinikuta 2017 nilipata mazungumzo kwa kutrack sim yake, hakuliwa ila alikua anaelekea kuliwa mkuu niliumia nusura ndoa ivunjike maana nilikua na ushahid ni miaka 6 lakini nikikumbuka naumia, mkuu hamna kitu kinauma kama usalit kwa mtu unayempenda na kumwamini.
 
Hii ni chai, happ kwenye kulowa nyuma ya sketi umepakazania sana kuna namna,, mambo yako kasi sana
Kwani wee hujawai lowesha kyupi na skirt kwa mpigo?
Kama bado basi hujawahi kumpenda mwanaume
 
Kwa hiyo akasemaje ulivyombana?
 
Hii nafikili ni mzuri,
Sijajua nitumie mbinu gani coz ninashinda home mda mwingi
Don't usithubutu trust me....ulishakosea km kucheat muache achit mwenyewe usishiriki huu upupu...!!!ukikamatwa utakosa maana na maji ya moto!!!
 
Una uhakika hakuliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…