Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Unapata tabu ya nini umeomba ushauri wanawake ila acha nichangie kidogo msinielewe vibaya

Chakufanya apo unatakiwa ucheat tena urudie zoezi ili akili ione jambo ulilofanya ni la kawaida yani apo unatakiwa uwe kitombi ili uwe na amani

Ushauri wa pili msukie mtego mume wako yani tafuta mrembo mmoja mpange amtege mumeo aingie kwenye 18, hapa hutakiwi kuwa na wivu muache mumeo mpaka amkule uyo mrembo alafu utatafuta namna yakumkamata kwa vithibitisho ili uanze kumlaumu, apo ngoma inakua 50/50 lengo ni amani ipatikane msiwavuruge watoto

Kwa uzoefu tu uyo mumeo mpaka sasa ameshakula warembo zaidi ya 50 we fanya mpango umkamate tu mtaishi kama zamani
 
Thanks dear.
Naumia sana kwani naamini still ana maumivu sana my hubby.
Naitaji awe mtu wa furaha kama mwanzo please wanawake wenzangu naombeni ushauri.
Kwani hukujua kwamba akigundua atachukia? Tangu sa kumi hadi mbili kasoro unatombeka tu. Hukuwa hata na huruma na mumeo.

Ungepigwa kimoja tu ukarud hom chap asingegundua.

Wewe ni kahaba kama makahaba wengine ila siku zako hazikufika. Shetani amekuumbua.
 
Yaaani wewe mpumbavu Sana.Wenzio tunakesha kwa maombi kumuomba Mungu atupe mume sahihi ambaye atatuheshimu na kutujali wewe unachezea mine Bora kisa siku 6 TU ndo ushindwe kuvumilia Tena MUMEO alikuwa mgonjwa????
MSENGEREMA SANA WEWE,MPUMBAVU&MJINGA.
Duuuu
 
Yaaani wewe mpumbavu Sana.Wenzio tunakesha kwa maombi kumuomba Mungu atupe mume sahihi ambaye atatuheshimu na kutujali wewe unachezea mine Bora kisa siku 6 TU ndo ushindwe kuvumilia Tena MUMEO alikuwa mgonjwa????
MSENGEREMA SANA WEWE,MPUMBAVU&MJINGA.
Alafu si huainasemekana hamnaga N**g sana kama wanaume mnaweza kuvumilia Kwa muda mrefu
 
Yaaani wewe mpumbavu Sana.Wenzio tunakesha kwa maombi kumuomba Mungu atupe mume sahihi ambaye atatuheshimu na kutujali wewe unachezea mine Bora kisa siku 6 TU ndo ushindwe kuvumilia Tena MUMEO alikuwa mgonjwa????
MSENGEREMA SANA WEWE,MPUMBAVU&MJINGA.
Aisee kumbe mnaisaka ndoa hivyo wakati wenzenu wanazichezea tuu kirahisi rahisi
 
Ulishindwa hatakupiga pasi hiyo sketi au huyo muhuni pia pasi hana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…