Umewahi Kumuona Chura Mweupe? Ingia hapa ujione utajiri wa Tanzania kwenye suala zima la utalii

Bueno

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2022
Posts
4,114
Reaction score
6,449
Huyu nimemuona leo hapa nilipo ni chura Mweupe sijawahi kumuona chura kama huyu aisee hapa nikifungua Tourists Centre si nakula hela za kutosha au? Waje kumuona tu wakachangia dollar 5 kwa kichwa na huyu anapatika Tanzania.

Wewe unasemaje mdau wa jf? Umewahi kumuona chura mwenye rangi nyeupe?


 
Huyu mbona yupo sehemu nyingi tu? Umezaliwa mjini na kukulia mjini labda. Sisi wa vijijini tunajua kuna wa wa-manjano, wekundu ... na hupenda kuishi kwenye mimea sehemu za unyevu.
 
Asante nimemuona
 
Ushawahi kumuona Poison Dart Frog? ana rangi nzuri za kupendeza, ukimkaribia ana vimba unaweza kuhisi anataka kupasuka, Chura anajua kurudi kinyume nyume huku bado kakuvimbia, anakwea ukuta kama mjusi
 
Huyu nimemuona leo hapa nilipo ni chura Mweupe sijawahi kumuona chura kama huyu aisee
Nenda kwenye mito ya Nyanda za Juu Kusini utawaona wa aina nyingi zaidi ya hizo
 
Yani mpaka umeshamfungia kwenye chombo masikini kwa tamaa zako.

Tafadhali muache huru huyo chura wala hana maajabu, nilipo wapo wengi tena wanaopendeza zaidi ya huyo.
 
Vyura weupe mbona wapo shazi sana

Sikuwahi kufikiria kuwa jambo hili linaweza kuonekana ni unique na kuchukuliwa kama sehemu ya kivutio
 
Hana maajabu yoyote, bora tum-promote Chura Kiziwi kwa kuwa ni mmoja tu dunia nzima au tumuuze kwa mabilioni ya dola tuingie uchumi wa kati fasta.
 
Nenda uwaone jumapili wapo kibao wana mechi utawaona wa kila rangi hutajutia
 
Fungua site ule hela kama mpumbavu 🤣
 
Mimi nilimuona wa kijani pale jangwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…