Huyu mbona yupo sehemu nyingi tu? Umezaliwa mjini na kukulia mjini labda. Sisi wa vijijini tunajua kuna wa wa-manjano, wekundu ... na hupenda kuishi kwenye mimea sehemu za unyevu.Huyu nimemuona leo hapa nilipo ni chura Mweupe sijawahi kumuona chura kama huyu aisee hapa nikifungua Tourists Centre si nakula hela za kutosha au? Waje kumuona tu wakachangia dollar 5 kwa kichwa na huyu anapatika Tanzania.
Wewe unasemaje mdau wa jf? Umewahi kumuona chura mwenye rangi nyeupe?
View attachment 3202568
Asante nimemuonaHuyu nimemuona leo hapa nilipo ni chura Mweupe sijawahi kumuona chura kama huyu aisee hapa nikifungua Tourists Centre si nakula hela za kutosha au? Waje kumuona tu wakachangia dollar 5 kwa kichwa na huyu anapatika Tanzania.
Wewe unasemaje mdau wa jf? Umewahi kumuona chura mwenye rangi nyeupe?
View attachment 3202568
Nenda kwenye mito ya Nyanda za Juu Kusini utawaona wa aina nyingi zaidi ya hizoHuyu nimemuona leo hapa nilipo ni chura Mweupe sijawahi kumuona chura kama huyu aisee
🤣🤣🤣Sasa habari za Yanga zinafikaje hapa?
Yani mpaka umeshamfungia kwenye chombo masikini kwa tamaa zako.Huyu nimemuona leo hapa nilipo ni chura Mweupe sijawahi kumuona chura kama huyu aisee hapa nikifungua Tourists Centre si nakula hela za kutosha au? Waje kumuona tu wakachangia dollar 5 kwa kichwa na huyu anapatika Tanzania.
Wewe unasemaje mdau wa jf? Umewahi kumuona chura mwenye rangi nyeupe?
View attachment 3202568
Hana maajabu yoyote, bora tum-promote Chura Kiziwi kwa kuwa ni mmoja tu dunia nzima au tumuuze kwa mabilioni ya dola tuingie uchumi wa kati fasta.Huyu nimemuona leo hapa nilipo ni chura Mweupe sijawahi kumuona chura kama huyu aisee hapa nikifungua Tourists Centre si nakula hela za kutosha au? Waje kumuona tu wakachangia dollar 5 kwa kichwa na huyu anapatika Tanzania.
Wewe unasemaje mdau wa jf? Umewahi kumuona chura mwenye rangi nyeupe?
View attachment 3202568
Mimi nilimuona wa kijani pale jangwaniHuyu nimemuona leo hapa nilipo ni chura Mweupe sijawahi kumuona chura kama huyu aisee hapa nikifungua Tourists Centre si nakula hela za kutosha au? Waje kumuona tu wakachangia dollar 5 kwa kichwa na huyu anapatika Tanzania.
Wewe unasemaje mdau wa jf? Umewahi kumuona chura mwenye rangi nyeupe?
View attachment 3202568