Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
GMOHuyu nimemuona leo hapa nilipo ni chura Mweupe sijawahi kumuona chura kama huyu aisee hapa nikifungua Tourists Centre si nakula hela za kutosha au? Waje kumuona tu wakachangia dollar 5 kwa kichwa na huyu anapatika Tanzania.
Wewe unasemaje mdau wa jf? Umewahi kumuona chura mwenye rangi nyeupe?
View attachment 3202568