Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
GMOHuyu nimemuona leo hapa nilipo ni chura Mweupe sijawahi kumuona chura kama huyu aisee hapa nikifungua Tourists Centre si nakula hela za kutosha au? Waje kumuona tu wakachangia dollar 5 kwa kichwa na huyu anapatika Tanzania.
Wewe unasemaje mdau wa jf? Umewahi kumuona chura mwenye rangi nyeupe?
View attachment 3202568
Unafungua tourists centre unapiga hela na chura mmoja!Huyu nimemuona leo hapa nilipo ni chura Mweupe sijawahi kumuona chura kama huyu aisee hapa nikifungua Tourists Centre si nakula hela za kutosha au? Waje kumuona tu wakachangia dollar 5 kwa kichwa na huyu anapatika Tanzania.
Wewe unasemaje mdau wa jf? Umewahi kumuona chura mwenye rangi nyeupe?
View attachment 3202568
Vyura hawa wanapatikana kwenye baadhi ya mikoa, hasa nyanda za juu kusini.Huyu nimemuona leo hapa nilipo ni chura Mweupe sijawahi kumuona chura kama huyu aisee hapa nikifungua Tourists Centre si nakula hela za kutosha au? Waje kumuona tu wakachangia dollar 5 kwa kichwa na huyu anapatika Tanzania.
Wewe unasemaje mdau wa jf? Umewahi kumuona chura mwenye rangi nyeupe?
View attachment 3202568
Unawaza ya sirini sanaChura ramani yake ya mgongo imekaa kama sehemu za siri bana.