Umewahi kuona umuhimu wa Himid Mao kwenye Timu ya Taifa?

Umewahi kuona umuhimu wa Himid Mao kwenye Timu ya Taifa?

Kisalilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2020
Posts
1,880
Reaction score
2,110
Nimetoka kuzurura Twitter.

Nikaona kuna jamaa mmoja anajibizana na Himid Mao mkame ninja.

Jamaa akaniambia HIMID haujui mpira na haustahili kucheza kiungo mkabaji maana unazururaga tu uwanjani.

HIMID kajawa povu kaanza kumwambia jamaa ugumu wa maisha unakusumbua jamaa nae kakazia apo tu kuwa HIMID hauna ata tuzo binafsi tutakukumbuka kwa lipi?

Mcheji kafura kweli mara umetumwa mara sijui kitu gani.

Sasa napenda kuuliza wakuu; je, HIMID huwa ana add value yeyote kwenye team ya Taifa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humid Mao ni mkata umeme, akiwa uwanjani unaweza wewe mtazamaji usione anachokifanya ila upande wa timu pinzani wanaiona shughuli yake.

Kwa ujumla Himid Mao ni kiungo mpambanaji/mfia timu, ndani ya Dk 90 za mchezo atafika kila kona ya uwanja kutoa msaada.

Kama ulishawai muona Darren Fletcher au Ji- sung Park wa Man utd. Ukiwa una wangalia unaweza ukawaona wakawaida ila timu pinzani wanaiona shughuli yake. Ni aina ya wachezaji ambao wako committed/; wafia timu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli hapa tunatofautiana saana, ila kwangu himid mao katika kikosi changu chochote kile hana namba na kwa mfumo wowote ule hana namba watakwambia himid mao ni mkata umeme ndio maana hatumuoni, asikwambie mtu hakuna kazi isionekana uwanjani, mpirani ni mchezo wa hadharani na sio chumbani!

Wakata umeme wangapi huko duniani tunaona kazi zao, kotei mbona alieleweka kile alichokuwa anakifanya! Himid sio mkata umeme, sio mzuia mashambulizi, sio mtuliza mashambulizi, sio muanzisha mashambulizi, sio mchezeshaji, kwangu huwa namuona yupo yupo tu!

Sijui kazi yake uwanjani nimfananishe na mchezaji gani sijui.
Kiukweli uchezaji wake sijawahi kuuelewa.
 
Humid Mao ni mkata umeme, akiwa uwanjani unaweza wewe mtazamaji usione anachokifanya ila upande wa timu pinzani wanaiona shughuli yake.

Kwa ujumla Himid Mao ni kiungo mpambanaji/mfia timu, ndani ya Dk 90 za mchezo atafika kila kona ya uwanja kutoa msaada.

Kama ulishawai muona Darren Fletcher au Ji- sung Park wa Man utd. Ukiwa una wangalia unaweza ukawaona wakawaida ila timu pinzani wanaiona shughuli yake. Ni aina ya wachezaji ambao wako committed/; wafia timu.


Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu futa kauli yako! Usimfananishe himid mao na kazi aliyokuwa anaifanya Park Ji Sung hata fletcher pia!

Park Ji Sung pamoja na kufanya kazi chafu uwanjani, timu ikicheza anaonekana, anashambulia, anafunga, ana jicho la pasi, skilss mbili, 3 anazo.
 
Hamna mtu pale mimi huwa nashangaa na ukata umeme wake huwa siuelewi kwanza akiwepo timu ya taifa lazima uone jinsi tunavyopotezwa pale kati sasa sijui huo gani huwa anaukata.
 
Hakuna cha Himid, Samatta wala Msuva. Wote hawajui mpira kama sisi tu ndomaana wakicheza pamoja tunachezea kichapo. Kinacho mbeba Samatta ni bahati tu na sasa kishaanza kuaibika huko England

Timu ni twiga stars tu[emoji16] akina mama hoyee
 
Kiukweli hapa tunatofautiana saana, ila kwangu himid mao katika kikosi changu chochote kile hana namba na kwa mfumo wowote ule hana namba watakwambia himid mao ni mkata umeme ndio maana hatumuoni, asikwambie mtu hakuna kazi isionekana uwanjani, mpirani ni mchezo wa hadharani na sio chumbani! Wakata umeme wangapi huko duniani tunaona kazi zao, kotei mbona alieleweka kile alichokuwa anakifanya! Himid sio mkata umeme, sio mzuia mashambulizi, sio mtuliza mashambulizi, sio muanzisha mashambulizi, sio mchezeshaji, kwangu huwa namuona yupo yupo tu!

Sijui kazi yake uwanjani nimfananishe na mchezaji gani sijui.
Kiukweli uchezaji wake sijawahi kuuelewa.
Naungana na wewe mkuu kuna wakata umeme kibao na kazi zao zinaonekana HIMID mpira ukipigwa kwa nguvu unamgonga ugoko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cha Himid, Samatta wala Msuva. Wote hawajui mpira kama sisi tu ndomaana wakicheza pamoja tunachezea kichapo,kinacho mbeba Samatta ni bahati tu na sasa kishaanza kuaibika huko England[emoji23]

Timu ni twiga stars tu[emoji16] akina mama hoyee
Nimekupenda bure dada angu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna mtu pale mimi huwa nashangaa na ukata umeme wake huwa siuelewi kwanza akiwepo timu ya taifa lazima uone jinsi tunavyopotezwa pale kati sasa sijui huo gani huwa anaukata.
Sijawahi kuona ata kapokonya mpira mtu sijui anakabaga kitu gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi anapozidiwa nguvu anafanya fouls zisizo na akili tena za wazi,mwisho wa siku anaishia kupata card

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Hakuna cha Himid, Samatta wala Msuva. Wote hawajui mpira kama sisi tu ndomaana wakicheza pamoja tunachezea kichapo,kinacho mbeba Samatta ni bahati tu na sasa kishaanza kuaibika huko England[emoji23]

Timu ni twiga stars tu[emoji16] akina mama hoyee
Mada inamuhusu Himidi ila umemtolea povu sana Samata! Mwache jamaa yetu, kuhusu Himidi hata mimi sijawahi kumuelewa! Baba ake alikuwa ball dancer haswaaa lakini Himidi havutii kumtazama dimbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humid Mao ni mkata umeme, akiwa uwanjani unaweza wewe mtazamaji usione anachokifanya ila upande wa timu pinzani wanaiona shughuli yake.
Kwa ujumla Himid Mao ni kiungo mpambanaji/mfia timu, ndani ya Dk 90 za mchezo atafika kila kona ya uwanja kutoa msaada.
Kama ulishawai muona Darren Fletcher au Ji- sung Park wa Man utd. Ukiwa una wangalia unaweza ukawaona wakawaida ila timu pinzani wanaiona shughuli yake. Ni aina ya wachezaji ambao wako committed/; wafia timu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kulinganisha J-Sung Park na takataka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakuwa Himid ana bahati nzuri kuliko rsia yoyote nchi hii, yaani mtu hajui mpira kabisa ila walimu wote wanampanga na kibaya zaid hata Egypt nao wameiga.
Kuikweli mpira upo katika sehemu 2, ufundi ambao tunawaachia makocha na ile burudani ya macho ambayo kila mwenye macho anaiona.
Himid ni mchezaji mzuri katika nafasi yake kiufundi ila kiburudani tutampa maksi chache mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli sisi wa Bongo baadhi yetu tuna shida kwenye kuangalia soka na ndio maana tupo hapa tulipo. Himid Mao amecheza karibu timu zote za taifa za vijana, Tangu ameanza kucheza Azam hajawai kuwekwa benchi kama akiwa mzima yaani akiwa hana majeraha.

Ukumbuke akiwa Azam, Himid amekutana na Makocha wengi tofauti na hajawai kuwekwa bench na kocha yoyote pale Azam awe raia wa kigeni su mzawa.

Kwasasa anacheza Egypt na anapata nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza, Uku kwetu Bongo mashabiki msha Shiba ubwabwa mnasema hindi Mao hamnakitu.

Ina maana Makocha wote walio mfundisha walikua waki mpendelea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom