Umewahi kuota unakimbizwa na nyuki?

Umewahi kuota unakimbizwa na nyuki?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Ukweli ni kwamba ukiota unafukuzwa na nyuki inaweza kuonyesha kuwa unahisi kuzidi wa na mambo mengi kichwani na huna nguvu. Nyuki mara nyingi huhusishwa na kazi ngumu Kwa ushirikiano, hivyo hii inaweza kuwa ishara kwamba unahisi kuzidiwa na kiasi cha kazi au wajibu ulio nao au madeni. Hata kama ni ndotoni jitahidi ulale chini wasikung'ate kichwani hahahahahaha

nyuki.png
 
GWA MIMI ZIJAWAHI KUWOTA ILA YUKI DI BADAAA ZANA WADE WATUTU
 
Huwa naota nafukuzwa na ng'ombe
Na sio mara moja sema tu location ndo zinabadilika.
Nimeshaona ni kawaida sasa japo mwanzo hata nikiona ng'ombe nilikua naogopa kukutana na kisanga kama nilivyoota
 
N
Huwa naota nafukuzwa na ng'ombe
Na sio mara moja sema tu location ndo zinabadilika.
Nimeshaona ni kawaida sasa japo mwanzo hata nikiona ng'ombe nilikua naogopa kukutana na kisanga kama nilivyoota
NDoto nzuri sana
 
Huwa naota nafukuzwa na ng'ombe
Na sio mara moja sema tu location ndo zinabadilika.
Nimeshaona ni kawaida sasa japo mwanzo hata nikiona ng'ombe nilikua naogopa kukutana na kisanga kama nilivyoota
Unafuatiliwa na mizimu ya mababu, ndio maana yake
 
Ukweli ni kwamba ukiota unafukuzwa na nyuki inaweza kuonyesha kuwa unahisi kuzidi wa na mambo mengi kichwani na huna nguvu. Nyuki mara nyingi huhusishwa na kazi ngumu Kwa ushirikiano, hivyo hii inaweza kuwa ishara kwamba unahisi kuzidiwa na kiasi cha kazi au wajibu ulio nao au madeni. Hata kama ni ndotoni jitahidi ulale chini wasikung'ate kichwani hahahahahaha

Mimi mara nyingi naota kung'atwa na mbwa. Hii ina maana gani mkuu?
 
Mimi mara nyingi naota kung'atwa na mbwa. Hii ina maana gani mkuu?
Tafsiri ya kawaida ya ndoto yako inahusu hisia ya kutishiwa au kufuatiliwa na mtu. Inaashiria wasiwasi wako na hofu ya kufuatiwa na mtu au kitu katika maisha yako
 
Huwa naota nafukuzwa na ng'ombe
Na sio mara moja sema tu location ndo zinabadilika.
Nimeshaona ni kawaida sasa japo mwanzo hata nikiona ng'ombe nilikua naogopa kukutana na kisanga kama nilivyoota
Ng'ombe ni ishara mizimu ya mababuu
 
Back
Top Bottom