Umewahi kuota unakimbizwa na nyuki?

Umewahi kuota unakimbizwa na nyuki?

Huwa nang'atwa miguuni mkuu. Nikishang'atwa nashtuka kutoka usingizimi
Ndugu Kuna mwanamke, mke mdogo, au Malaya uliyewahi kuwa nae kwenye mahusiano ulishiriki naye, anakuvizia akufunge mazima kupitia mapenzi.

Sasa chukua hatua ya kuwaacha wanawake hao ibaki njia kuu.

Usipostuka, utawekwa kwenye kibuyu, upoteze ramani ya maisha Yako.

Mbwa ni ROHO ya ukahaba na UZINZI.
 
Ndugu Kuna mwanamke, mke mdogo, au Malaya uliyewahi kuwa nae kwenye mahusiano ulishiriki naye, anakuvizia akufunge mazima kupitia mapenzi.

Sasa chukua hatua ya kuwaacha wanawake hao ibaki njia kuu.

Usipostuka, utawekwa kwenye kibuyu, upoteze ramani ya maisha Yako.

Mbwa ni ROHO ya ukahaba na UZINZI.
Sawa kiongozi. Nashukuru kwa ushauri
 
Nang'atwa na mbwa mimi na kila niking'atwa nashtuka naamka
Ndugu Kuna mwanamke, mke mdogo, au Malaya uliyewahi kuwa nae kwenye mahusiano ulishiriki naye, anakuvizia akufunge mazima kupitia mapenzi.

Sasa chukua hatua ya kuwaacha wanawake hao ibaki njia kuu.

Usipostuka, utawekwa kwenye kibuyu, upoteze ramani ya maisha Yako.

Mbwa ni ROHO ya ukahaba na UZINZI.
 
Nang'atwa na mbwa mimi na kila niking'atwa nashtuka naamka
Katika mazingira ya kawaida ukingatwa na mbwa, unawahi hospitali Ili Sumu iondokewe.

Wewe pia unahitaji msaada sababu tukio/ shambulizi limeshafanyika.

Muhimu ni ujitenge na mahusiano ya wengi, uwe na ubaki na mumeo mmoja pekee.

Hiyo Inaitwa Roho ya Yezebel inakufuata, alipouwawa, m aandiko yasema mbwa waliokuja na kuramba Damu yake.

Mtu halisi ni ndoto anazoota Kwa kuwa mtu ni ROHO.

Katika kitu chenye madhara katika maisha ya mwanadamu vizazi na vizazi, ni Zinaa.
 
Katika mazingira ya kawaida ukingatwa na mbwa, unawahi hospitali Ili Sumu iondokewe.

Wewe pia unahitaji msaada sababu tukio/ shambulizi limeshafanyika.

Muhimu ni ujitenge na mahusiano ya wengi, uwe na ubaki na mumeo mmoja pekee.

Hiyo Inaitwa Roho ya Yezebel inakufuata, alipouwawa, m aandiko yasema mbwa waliokuja na kuramba Damu yake.

Mtu halisi ni ndoto anazoota Kwa kuwa mtu ni ROHO.

Katika kitu chenye madhara katika maisha ya mwanadamu vizazi na vizazi, ni Zinaa.
Nzuri na hongera. Roho ta ukahaba kama ulivyosema inamuandama huyo.
 
Nzuri na hongera. Roho ta ukahaba kama ulivyosema inamuandama huyo.
Ni ameshapigwa tukio, Si kwamba anafuatiliwa,

Muhimu ni aanze mapambano Ili kuondoa Sumu walioipandikiza ndani yake.

Muhimu atafute mtumishi wa Mungu wa Kweli amsaidie kujinasua.
 
Mimi niliota nyuki wamening'ata sikio, kesho yake mzinga wa nyuki shambani kwangu nilikutwa umelinwa na kitu/mtu asiyejulikana
 
Back
Top Bottom