ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Tanzanini hii hii yenye shule kila kata? Wakimbizi rudini kwenu.GWA MIMI ZIJAWAHI KUWOTA ILA YUKI DI BADAAA ZANA WADE WATUTU
Wewe jamaa una vibari vya kuishi Nchini?, au tangu uingine kuja kuuza AK47 yako hujarudi kwenu?.GWA MIMI ZIJAWAHI KUWOTA ILA YUKI DI BADAAA ZANA WADE WATUTU
NDoto nzuri sanaHuwa naota nafukuzwa na ng'ombe
Na sio mara moja sema tu location ndo zinabadilika.
Nimeshaona ni kawaida sasa japo mwanzo hata nikiona ng'ombe nilikua naogopa kukutana na kisanga kama nilivyoota
Unatia aibuGWA MIMI ZIJAWAHI KUWOTA ILA YUKI DI BADAAA ZANA WADE WATUTU
Unafuatiliwa na mizimu ya mababu, ndio maana yakeHuwa naota nafukuzwa na ng'ombe
Na sio mara moja sema tu location ndo zinabadilika.
Nimeshaona ni kawaida sasa japo mwanzo hata nikiona ng'ombe nilikua naogopa kukutana na kisanga kama nilivyoota
😃😃Tanzanini hii hii yenye shule kila kata? Wakimbizi rudini kwenu.
Mimi mara nyingi naota kung'atwa na mbwa. Hii ina maana gani mkuu?Ukweli ni kwamba ukiota unafukuzwa na nyuki inaweza kuonyesha kuwa unahisi kuzidi wa na mambo mengi kichwani na huna nguvu. Nyuki mara nyingi huhusishwa na kazi ngumu Kwa ushirikiano, hivyo hii inaweza kuwa ishara kwamba unahisi kuzidiwa na kiasi cha kazi au wajibu ulio nao au madeni. Hata kama ni ndotoni jitahidi ulale chini wasikung'ate kichwani hahahahahaha
Tafsiri ya kawaida ya ndoto yako inahusu hisia ya kutishiwa au kufuatiliwa na mtu. Inaashiria wasiwasi wako na hofu ya kufuatiwa na mtu au kitu katika maisha yakoMimi mara nyingi naota kung'atwa na mbwa. Hii ina maana gani mkuu?
Kuna mtu anakufuatilia maishani mwakoMimi nimeota nang'atwa na mbwa mdogo sana mkononi
Nifanyeje ndugu yangu kumkomoa huyo bwana mdogo ?Kuna mtu anakufuatilia maishani mwako
Fafanua mazingira yapi, umengatwa sehemu Gani ya MWILI, alibaki hapo hapo au ulipambana nae nk nkMimi mara nyingi naota kung'atwa na mbwa. Hii ina maana gani mkuu?
Ng'ombe ni ishara mizimu ya mababuuHuwa naota nafukuzwa na ng'ombe
Na sio mara moja sema tu location ndo zinabadilika.
Nimeshaona ni kawaida sasa japo mwanzo hata nikiona ng'ombe nilikua naogopa kukutana na kisanga kama nilivyoota
Huwa nang'atwa miguuni mkuu. Nikishang'atwa nashtuka kutoka usingizimiFafanua mazingira yapi, umengatwa sehemu Gani ya MWILI, alibaki hapo hapo au ulipambana nae nk nk
Ongea zaidi.
Roho ya uzinzi inakufuatilia......ikemee kwa jina la Yesu.Mimi mara nyingi naota kung'atwa na mbwa. Hii ina maana gani mkuu?