Umewahi kupata connection ya Ajira , Biashara, n.k. kimasihara ? aliekupa hakuhitaji chochote, mtu ambae hukumtegemea, n.k.

Umewahi kupata connection ya Ajira , Biashara, n.k. kimasihara ? aliekupa hakuhitaji chochote, mtu ambae hukumtegemea, n.k.

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
katika maisha ya sasa connection ni kitu muhimu sana, lakini zimekuwa ngumu sana kupatikana ni hadi utoe kitu kidogo, uwe chawa, n.k.

Je umewahi kupata connection kimasihara iwe kwa mtu ambae hukumtegemea au Bila kuombwa chochote au mazingira usiyotegemea, n.k.

Nimewahi kumjua Mhitimu wa degree alieamua kufanya kazi ya ulinzi 2017, Kuna nyumba alikuwa analinda ya kigogo wa taasisi flani, Mtoto wa bosi alirudi likizo kutoka chuo na walizoeana sana hadi kufikia kumpa siri yake ni mhitimu wa chuo, habari ziliweza kumfikia mzee, Baada ya miezi minne kuna siku bosi karudi jioni akamwambia kesho unipe cv yako na copy za vyeti, Mlinzi alistuka sana kujua habari zilimfikia bosi akaamwambia punguza presha. alienda kuandika written interview akapenya kwenye oral, baada ya wiki anapigiwa simu kapata kazi lakini ipo mkoani kama yupo tayari 😀😀 wala hakujiuliza mara 2 alikubali fasta, Leo hii huwezi kumdhania
 
katika maisha ya sasa connection ni kitu muhimu sana, lakini zimekuwa ngumu sana kupatikana ni hadi utoe kitu kidogo, uwe chawa, n.k.

Je umewahi kupata connection kimasihara iwe kwa mtu ambae hukumtegemea au Bila kuombwa chochote au mazingira usiyotegemea, n.k.
Ndio 1996,Nilisoma na jamaa CBE_Dodoma,Yeye alikuwa mfanyakazi huku anasoma, ajira ikatokea kwenye kampuni Yao nikapata kimasihara sales man.Hela nikawa napiga kuliko yeye za per diem.
 
Kazi ninayoifanya nimeipata bila kuwa na connection na nilikua simfahamu yeyote. Ukimtegemea Mungu kila kitu kinawezekana.
Kwenye sehemu yenye nafasi chache ili upenye kwa mazingira ya kibongo si Mungu pekee/

Nafasi za kazi zipo 5, wanaoomba ni 200, its either una connection au Una bahati au uwezo mkubwa sana

Kumbuka na hao 195 waliotoswa wapo kibao wanamuamini Mungu
 
Kwenye sehemu yenye nafasi chache ili upenye kwa mazingira ya kibongo si Mungu pekee/

Nafasi za kazi zipo 5, wanaoomba ni 200, its either una connection au Una bahati au uwezo mkubwa sana

Kumbuka na hao 195 waliotoswa wapo kibao wanamuamini Mungu
Sisi tunaoamini Mungu, tunaamini kua bahati ni moja ya kipawa ambacho Mungu humpa mja wake. Kwahiyo point ni ile ile!
 
Mimi ni muhitimu wa kidato cha 4 mwaka 2019 nahtaji conection ndugu zangu,kazi yeyote nafanya (serious)
Nakushauri ujifunze ujuzi wowote iwe kupaka rangi nyumba, useremala, ujenzi, kuchomelea vyuma, kushona, ufugaji, n.k.

Ujuzi hauozi, jitoe hata miezi 6 bure ujifunze kazi
 
Kwenye sehemu yenye nafasi chache ili upenye kwa mazingira ya kibongo si Mungu pekee/

Nafasi za kazi zipo 5, wanaoomba ni 200, its either una connection au Una bahati au uwezo mkubwa sana

Kumbuka na hao 195 waliotoswa wapo kibao wanamuamini Mungu
Mungu anatoa kwa wakati wake na kwa mpango wake ,kwahiyo tuendelee kuamini Mungu tu
 
Mungu anatoa kwa wakati wake na kwa mpango wake ,kwahiyo tuendelee kuamini Mungu tu
Hilo ni suala la kufikiria kwa undani zaidi, Ni kweli Mungu ana msaada kwa kiasi chake lakini sio jambo la kutegemea 100 %

Tupo Tanzania chi yenye ajira chache wahitimu kibao, haiwezi kuja kutokea wahitimu wote wanaotaka ajira waajiriwa, hilo waliwezekani, ni mpaka tuishi kwa upendo (Amri kuu) vigogo waache kula pesa za miradi
 
Hilo ni suala la kufikiria kwa undani zaidi, Ni kweli Mungu ana msaada kwa kiasi chake lakini sio jambo la kutegemea 100 %

Tupo Tanzania chi yenye ajira chache wahitimu kibao, haiwezi kuja kutokea wahitimu wote wanaotaka ajira waajiriwa, hilo waliwezekani, ni mpaka vigogo waache kula pesa za miradi
Mungu nae anasema kabisa , fanya kwa bidii nae atanyoosha mkono wake .
Trust me ,unaweza kuwa na GPA ya 4.9 huko usitoboe kabisa ,unaweza kuwa wewe na division zako tangu chini hadi juu lakini ukaishia kazi za kawaida.

Kuna watu wa kawaida sana lakini wanafanya kazi wamefika mbali ,ukiachana na connection.


Mimi nilishawahi omba sehemu kazi na nikapata ,sina vyeti vya kutisha ,sina uzoefu wa wenzangu tulioomba nao nikapata .Nikajua Mungu kanyoosha mkono wake tu.zamu kwa zamu mzee.

Inawezekana unatoboa bila kusali au kumtegemea Mungu ,ila wazazi wako ndio wanakubeba kwa kukuombea .


Life bila nguvu fulani iwe ya giza au ya nuru ni ngumu kutoboa aise.
 
katika maisha ya sasa connection ni kitu muhimu sana, lakini zimekuwa ngumu sana kupatikana ni hadi utoe kitu kidogo, uwe chawa, n.k.

Je umewahi kupata connection kimasihara iwe kwa mtu ambae hukumtegemea au Bila kuombwa chochote au mazingira usiyotegemea, n.k.

Nimewahi kumjua Mhitimu wa degree alieamua kufanya kazi ya ulinzi 2017, Kuna nyumba alikuwa analinda ya kigogo wa taasisi flani, Mtoto wa bosi alirudi likizo kutoka chuo na walizoeana sana hadi kufikia kumpa siri yake ni mhitimu wa chuo, habari ziliweza kumfikia mzee, Baada ya miezi minne kuna siku bosi karudi jioni akamwambia kesho unipe cv yako na copy za vyeti, Mlinzi alistuka sana kujua habari zilimfikia bosi akaamwambia punguza presha. alienda kuandika written interview akapenya kwenye oral, baada ya wiki anapigiwa simu kapata kazi lakini ipo mkoani kama yupo tayari 😀😀 wala hakujiuliza mara 2 alikubali fasta, Leo hii huwezi kumdhania
Simba mnavyopenda kubebwa
 
Back
Top Bottom