exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
Mimi Mtaani kwetu walikua wananiita bluu siri maana enzi hizo ndio zmetoka jojo za chata ya bluu siri nilikua fiti sana kwa mateke, sasa bwana ilitokea kuna dogo alikuja jirani mgeni nakumbuka zilikua zmebaki siku chache krismas
Mi niliwakuta wanacheza mpira nikaomba namba wakanininyima nikaingia kwa nguvu mbaya zaidi nilikua golini nikaudaka nikaukatalia kumbe mpira ni wayule dogo
dogo akaja kuniomba mpila nikagoma huku naondokanao nikaona anavimbisha kifua nikamsukuma nikaona anakunja shati baaaasiiii nlikua mkorofi balaa nikamfata yaani sjui nlirusheje teke
Teke ya kwanza ikashikiliwa nikaanza kuburutwa kama nyoka mwishie nkaanguka jamaa kaniweka chini nikajaribu kutumia mabavu kumgeuza nikapigwa ngumi maeneo ya sikio nilijua nakufa nililia kwa nguvu huku nikiomba wamtoe nmetosha
hapo hakukua na watu wakubwa waliokuepo wote madogo tu kilichonsaidia alipita baba mmoja akatuachanisha kwa fimbo lijamaa ndo kukimbia mimi npo hoi huyo moja kwa moja nyumbani.
tokea hapo sjagombana tena
exalioth
jf geita
Mi niliwakuta wanacheza mpira nikaomba namba wakanininyima nikaingia kwa nguvu mbaya zaidi nilikua golini nikaudaka nikaukatalia kumbe mpira ni wayule dogo
dogo akaja kuniomba mpila nikagoma huku naondokanao nikaona anavimbisha kifua nikamsukuma nikaona anakunja shati baaaasiiii nlikua mkorofi balaa nikamfata yaani sjui nlirusheje teke
Teke ya kwanza ikashikiliwa nikaanza kuburutwa kama nyoka mwishie nkaanguka jamaa kaniweka chini nikajaribu kutumia mabavu kumgeuza nikapigwa ngumi maeneo ya sikio nilijua nakufa nililia kwa nguvu huku nikiomba wamtoe nmetosha
hapo hakukua na watu wakubwa waliokuepo wote madogo tu kilichonsaidia alipita baba mmoja akatuachanisha kwa fimbo lijamaa ndo kukimbia mimi npo hoi huyo moja kwa moja nyumbani.
tokea hapo sjagombana tena
exalioth
jf geita