Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Yaani acha tuu ndugu yangu sijui wangeniharibu utu wangu ingekuwaje,.maana wakati ule nilikuwa nikikumbuka lile tukio mwili mzima unasisimka nabaki kuweweseka tuu.. huyu YESU aliyeniokoa pale nitamtumikia milele 🙌Pole sana mkuu. Maisha yana mambo mengi. Tunamshukuru MUNGU, uhai na utu wako ulibaki salama.
Amina mtumishi. BWANA Yesu ni mwema sana.Yaani acha tuu ndugu yangu sijui wangeniharibu utu wangu ingekuwaje,.maana wakati ule nilikuwa nikikumbuka lile tukio mwili mzima unasisimka nabaki kuweweseka tuu.. huyu YESU aliyeniokoa pale nitamtumikia milele 🙌
Kuna jamaa humu alikabwa mpk wakabaji wakamkumbuka ati "huyu wa Jana!!" Wakamuacha akaenda..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu alikuwa na nuksi..🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nmeikumbuka hiyo stori, nlichekaga sana
Unapenda kushika pumbu za wanaume wenzako utajageuzwaNilipigwa ROBA kichochoro cha Mbagala Kiburugwa....
Kanuni ya ROBA si kung'ang'ania uutoe mkono....bali bila ya kupoteza muda nilijikunja na kuweka mikono katika mkono wake ulio shingoni mwangu na "kuning'inia"....
Kama umecheza MARTIAL ARTS hii ndio salama yako....
Kikanuni.....hakuna mkono unaoweza kuhimili UZITO WA KILO 70 za mwanadamu....
Yuke Sakala hakuhimili UZITO WA MNING'INIO WA MWILI WANGU ,miguu nimeikunja pia ili niongeze uzito chini(gravity)....mkono wake ulichoka na akaniachia....Kama angeujua "mchezo" basi wakati NILIPOJIKUNJA NA KUINAMA angekwenda nami chini(naye angeinama).....angefanya hivyo NISINGEWEZA KUJIOKOA....
Baada ya kuchoka mkono wake ,nilimgeukia kwa haraka na KUMTIA VIDOLE VYA MACHO....huku nikikamata "MBUPU"zake na kuzivuta.... Alitoa ukelele mmoja matata....SIKUMSUBIRI NIKAKIMBIA MBIO ZA USAIN BOLT....[emoji1787][emoji1787]
Utajafirwa weweKuna hii mbinu ya kuvua nguo zote, unaziweka kwenye mfuko, unabaki na boksa. Hii hutumika sehemu korofi sana!
Hata uwe commando utakabwa tuHawa wajinga wa Mbagala wasijichanganye kwangu nitawaua.
Wanajeshi wanajua kupiga chadema tuHawa waseng' huwa ni majasiri sana.Mwaka jana pale Zakhem Mbagala kama unaelekea kibonde Maji walinikabia mjeshi mmoja hivi,wakampora vyote na demu wake wakampoka.
Ukatulingishia bwana!! Kumbe Ni we[emoji2][emoji2][emoji2]Mwaka 2004 natoka zangu mjini kuelekea home. Mjini daladala zikawa hakuna, bahati nikapata la Mabibo nikajisemea kimoyomoyo, ngoja nipande hili nitaunganisha Manzese la Kimara. Kufika manzese nikaona nikashukie CCM Kona ya Mabibo. Ile nashuka nikaona nipate bia mbili pale Rambo bar, wengi mtaikumbuka ilikua na Malaya wengii. Basi bwana nikapata siti pale nje na kuahiza safari ya baridi huku nikivizia daladala za Kimara. Nikipata bia za kutosha na simu yangu ya sony mlio polyphonic.
Ile nimelaza bia zangu nikaona pale kituoni Kuna watu Kama watano hivi. Nikaona na Mimi niungane nao tusubiri daladala. Kumbe wote vibaka. Aisee ilenafika kituoni sekunde nyingi nilijikuta nimelimwa mtama Niko chini Sina simu na mituko yoye iko nje.
Kipindi kile surualizilikuana mifuko ya Siri. Hivyo hakiba yangu nyingi hawakuiona. Baada ya kunipora huku mmoja amenikaba Koo wakaondoka. Nilivyo cheki hakiba yangu ipo nilirudi Tena Rambo na kuagiza beer nikiwa pale nje. Na wenyewe baadae walirudi kituoni wakaniona na gida bia. Naona Sasa walijiandaa kikamilifu. Nami nilitoa pesa na kuzihesabu nikiwa pale nje kwenye taa wazione Kisha nikaingia kwenye taxi.
Itakuwa una muonekano wa kiwiziwiziSijui ni kwanini kila nikipita maeneo hatarishi kwa Ukabaji na hata nikiwakuta Wakabaji wenyewe huwa hawanikabi. Sijui labda wananihisi nami ni Mwandamizi Mwenzao Kiukabaji au vipi.
Lipia tangazo mkuuTaifa walinipora Camera,pesa na simu yangu wakati natoka taifa kuangalia mpira,then ile simu sikureneaw laini Kama wiki hivi,nikatuma message kwa namba nyingine chochote kibaya mikitokea wanitafute kwa namba hii,nikapanda Treni Hadi kigoma mjini,kuna eneo linaitwa Kitonga nikamtafuta mtaalam akafanya yake,huku wale vibaka walivimba vichwa kuja kunitafuta ,so far nilipata kahela kidogo..
Kumpoka ndio nini mkuu,au ulitaka kumaanisha kumbakaHawa waseng' huwa ni majasiri sana.Mwaka jana pale Zakhem Mbagala kama unaelekea kibonde Maji walinikabia mjeshi mmoja hivi,wakampora vyote na demu wake wakampoka.
Kupoka Ni kuingiza kiatu kwenye kinyeoKumpoka ndio nini mkuu,au ulitaka kumaanisha kumbaka
Final ya uefa arsenal na Barcelona ni 2006. Acha uongoYes 2010
Fainali uefa baina ya asernal na Barcelona kumbukumbu golikipa asernal alipata kadi nyekundu mapema sana alimgusa unyayo samueli eto akienda kufunga goli
Najamaa yangu tunasiku mbili panaitwa bagamoyo unaelekea stend kuu yatukuyu panadispensari na bar moja hivi nalakitano kwenye waleti ,simu Samsung
Kumbe kunajamaa ananiwinda mana natumia pombe balaa
Ukafika muda wamechi bwana ukumbini nilazima upite kaunta ,upande wakulia kunachoo unavoelekea ukumbini
Niliingia choo gent kama kawa kumbe kibaka alikuja nyumayangu akaingia cha ke ili ufike choo cha wanaume nilazima uvuke mlango wa ke
Natoka hivi nataka kukunja niingie baa niliguswa begani kugeuka nikasukumwa kidogo ukutani nikanata pale
Jamaa akatoa kisu vile vyakufyatua akaniambia unaona watu wanapita kuingia kuangalia mechi nikasema ndio
Ukipiga kelele wananiua naomba zilehela zote na simu kila kitu tumeona kwanza mgeni hapa tokajana unakunywa tu bia hapa ukikaa hata kuinuka huinuki
Nikasema nimekwisha ghafla akili ikija yule jamaa niponae alikua ametoka bwana mungu mwema akili ikaja nilegeze mwili na kauli hapo kichwani nipo nahisi damu inamwagika nimeloa mwiliwote
Watu wanapita nawanamwita jamaa jinalake(),anaitikia poa napiga stories na big yetu hapa
Basi ,nikamuangalia alivo nikipande cha MTU mweusi harufu pia yabangi kwambali nasikia toka kwake
Kimo chake urefu kidogo tunalingana
Nawaza nipige wapi huyu usoni jibu ikawahapa
Ghafla wazo likaja nitagonga kichwa changuvu eneo lapua nilazima ainame kidogo niifaidi pua yake
Nikamwambia naomba laini nitoe nikuachie simu napesa zote nakupa
Jibu likawa
Sawa brother nyie ndo mabrother tunawataka hamna bugdha
Nikatoa laini ingia mfuko wanyuma to a waleti
Wakati natoa waleti aliinama ili aifadhi kisu anavoinuka niligonga kichwa puani alilia kwasauti kubwa mamaaaaa nakufa akadondoka chini paaa
RAIA kwenye ukumbi na bar wakatoka wanauliza imekuaje nikawambia wakati mnapita hapa nilikua nimepigwa tero amesema nimpe simu napesa pia Mimi mgeni nakaaje sikumbili nakunywa tu pombe
ndo nikasikia najina lake anaitwa God ,dereva vigali beba mizigo soko LA tukuyu stend pale
Kutoka ilesiku sijawahi kusekana nyumbani sambili kamili usiku labda niwe safarini
Usiombee ukutwe au ubananishwe na kibaka sikiaga tu
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Unaniua mbavu zangu😂😂😂Miezi kadhaa imepita ,mi nikishakulaga nyama choma na bia zangu huwa najiona Kama dume la nyani yaani confidence ya kutosha .Sasa baada ya kuchangamka nikapanda toyo kufika mitaa fulani nikamwambia dereva wa toyo nishushe njiani kwani dume la nyani haliwezi kupelekwa mpaka nyumbani bwana .Boda akaniambia mwanakwetu hii mitaa nishai Kuna watoto nuksi .Mi kwa kujiamini nikamwambia mwanakwetu siku nyingi sana sijacheza nao hao ndio haswa nawataka( ngumi zenyew sijawahi hata kuzijaribisha).Kutembea kidogo ghafla naona mkono ushazunguka kwenye shingo ,nikawaambia acheni utani wanangu,ngoma inazidi kutight tu .Ile roba ilikuwa kali mpaka nikayataja majina matatu ya bimkubwa wangu huku nikiwaambia madogo najuta kwanini sikusikiliza ushauri wake wa kuacha pombe.Madogo wakanilostisha mazaga na ngumi za uso za kutosha . Asubuhi naamka lips ya juu ndefuuu ya chini fupi.Sitasahau pia nilivyopigwa mpini wa jembe wa mgongo kwenye bodaboda mpaka nikashuka mwenyewe😀😀 mitaa hiyo hiyo.Acha nikamwagilie moyo ntarudi saa 9 lakin na bajaji.
Hyo mbinu unatoboa popoteKuvua shati na kutembea bega juu bega chini hizo ni code mkuu kuna mitaa ukipita hvyo hata iwe sa tisa usiku uwezi kukabwa
Hakika mkuuHyo mbinu unatoboa popote